Umri gani ni sahihi kumpa mtoto smart phone?

Umri gani ni sahihi kumpa mtoto smart phone?

Simu ilikuongezea uwelewa wa masomo na kukusaidia kufaulu mitihani?
Simu ilinifanya niwe mjanja mpaka leo. Ufaulu wa mitihani uliongezeka kiasi fulani ila uelewa wa historia, teknolojia, siasa, biashara, mambo ya kimataifa uliongezeka maradufu. Ila na mademu nilirahisishiwa
 
Inategemea na nchi aliyopo. Kibongo bongo subir adi afike High-level maana kabla ya apo atakuwa anatazama Porno na vichekesho tu vya TikTok,

Uaya wazungu ata miaka 8 mtoto anapewa smartphone na anaitumia vyema kabisa ktk mambo muhimu..
Kama hii👉Uaya wazungu ata miaka 8 mtoto anapewa smartphone na anaitumia vyema kabisa ktk mambo muhimu👈ingekuwa kweli Ulaya isingekuwa ya hovyo kama ilivyo leo.Without exception simu zimeletwa kwa agenda ovu kama kuharibu afya zetu, families na morals.Yote tunayoambiwa kwamba ni advantages za simu ni by the way.To rational people this is clear.
 
𝚄𝚖𝚛𝚒 𝚠𝚘𝚠𝚘𝚝𝚎,𝚒𝚕𝚊 𝚝𝚞 𝚞𝚌𝚑𝚞𝚗𝚐𝚎,𝚖𝚊𝚝𝚞𝚖𝚒𝚣𝚒 𝚢𝚊 𝚑𝚒𝚢𝚘 𝚜𝚖𝚊𝚛𝚝𝚙𝚑𝚘𝚗𝚎 𝚢𝚊𝚜𝚒𝚊𝚝𝚑𝚒𝚛𝚒 𝐮𝐭𝐨𝐭𝐨 𝚠𝚊𝚔𝚎.
 
Kuna ma aunty na uncles wanaweza kumnunulia kama zawadi ya Idd au X-mas, kabla hajafika chuo ni sahihi kumnyang’anya?
Chefuuu umnyang'anye ili iweje? Acha wivu muache mtoto afurahi na roho yake.
 
Kuna umuhimu/lazima wa yeye kumiliki hivo vitu? Mfano laptop mbili? iPad na smartphone? PS na xbox?. Ni sawa na mtu kuvaa saa mbili .
Unajua mkuu, watu wengine ni vichaa bila kujitambua, laptops mbili, iPad, Smartphone, ili iweje hasa?Tena mtoto!Yaani bila aibu ana expose ujinga wake.Sifa za kijinga kabisa.
 
Mbongo umpe smartphone akipakua pilau vijana si wataharibika hususan watoto
 
Wangu ana miaka 12 ana laptop mbili, desktop, PlayStation na xbox, an ipad na smartphone. Mimi pia nilipewa hivyo vitu nikiwa umri huo pamoja na dada zangu nao pia naona watoto wao wana smartphone and they are so young.
Kazi ya xbox ni nini?
 
Wangu ana miaka 12 ana laptop mbili, desktop, PlayStation na xbox, an ipad na smartphone. Mimi pia nilipewa hivyo vitu nikiwa umri huo pamoja na dada zangu nao pia naona watoto wao wana smartphone and they are so young.
Good!
 
Wangu ana miaka 12 ana laptop mbili, desktop, PlayStation na xbox, an ipad na smartphone. Mimi pia nilipewa hivyo vitu nikiwa umri huo pamoja na dada zangu nao pia naona watoto wao wana smartphone and they are so young.
Unaishi Dar, Arusha au Kilimanjaro?
 
All in one pc na router vinawekwa sebreni au natenga sehemu kama library ndani. router inawashwa kwa mda nitakao panga mimi na usimamizi wa mara kwa mara nn anafanya kwenye computer. Simu atanunua akijitambua ama nikiona anatakiwa kwenda kuishi mbali na familia.
 
Kabla ya kumpa mtt smartphone mzazi jiulize
can he/she handle hzo content atakazoziona humo?

je anaweza asiwe spoiled?

Je anaweza kukushirikisha kwa lolote ambalo anaona lina mchanganya atakalokutana nalo huko?

Je ulimfundisha ethics vizuri kumlinda na dunia hiyo ya smartphone?

Je anaweza handle vizuri what gen Z wanaita "cyber bullying"

Je waweza kumpa uangalizi w karibu "parenting control"

Kwa mzazi aliyefanya jukumu lake la kulea watoto "IPASAVYO" Sio ilimradi Basi kumpa mtt simu amalizapo ELIMU YA SHULE YA MSINGI Haitakuwa ngumu
 
Kumnunulia mtoto simu au computer ni hatari mno.Niliwahi kumto*ba mtoto ambae nilikutana nae kwenye social media za mapenzi.
 
Back
Top Bottom