T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Simu ilinifanya niwe mjanja mpaka leo. Ufaulu wa mitihani uliongezeka kiasi fulani ila uelewa wa historia, teknolojia, siasa, biashara, mambo ya kimataifa uliongezeka maradufu. Ila na mademu nilirahisishiwaSimu ilikuongezea uwelewa wa masomo na kukusaidia kufaulu mitihani?