Umri miaka 38 nguvu za kiume zimeisha kabisa nina thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa

Umri miaka 38 nguvu za kiume zimeisha kabisa nina thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka 12

Nina kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana.

Pia nina ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa mawazo yamekua mengi ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa
 
Nguvu zipo acha uoga we zingatia afya Yako kwanza ya mwili na akili
Fanya mazoezi mepesi
Kunywa maji mengi
Kula chakula kwa wastani
Control uzito wako
Usiwaze sana mapenzi jiwaze wewe zaidi
Nguvu utakuwa nazo hadi unaenda kaburini
 
Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka12.. nna kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana..pia nna ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa...mawazo yamekua mengi...ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa
DR Mambo Jambo
 
Amini pasi na shaka hiki ninachokuambia, nguvu unazo, tatizo saikolojia yako imesharibiwa na ile faikure yabkwamza kabisa.., sasa jinsi unavyozidi kuwaza ndivyo unatakavyozidi kupata wasiwasi wakati wa tendo, ukishaanza kudoubt tu, moja kwa moja adrenaline inaachiliwa kwenda kwenye damu, na moja kwa moja mashine italala.., sasa dawa hapa ni upogwe Placebo.., anza kufanya Kegel exercises kama placebo tu, japo nguvu unazo tayari..

YOUR PROBLEM IS PURELY PHSYCHOLOGICAL, ndio maana ukienda kwa mchepuko ambaye huna wasiwasi wala pressure ya kuperform, akili yako inatulia na unapiga show…, hicho kitu nimekisikia sana, mtu anashindwa kwa mkewe, ila nje anapiga safi kabisa, ni tatizo tu la kiakili, but physically u r fit!
 
Hadoa ya miaka12.. nna kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana..pia nna ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa...mawazo yamekua mengi...ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa

Amini pasi na shaka hiki ninachokuambia, nguvu unazo, tatizo saikolojia yako imesharibiwa na ile faikure yabkwamza kabisa.., sasa jinsi unavyozidi kuwaza ndivyo unatakavyozidi kupata wasiwasi wakati wa tendo, ukishaanza kudoubt tu, moja kwa moja adrenaline inaachiliwa kwenda kwenye damu, na moja kwa moja mashine italala.., sasa dawa hapa ni upogwe Placebo.., anza kufanya Kegel exercises kama placebo tu, japo nguvu unazo tayari..

YOUR PROBLEM IS PURELY PHSYCHOLOGICAL, ndio maana ukienda kwa mchepuko ambaye huna wasiwasi wala pressure ya kuperform, akili yako inatulia na unapiga show…, hicho kitu nimekisikia sana, mtu anashindwa kwa mkewe, ila nje anapiga safi kabisa, ni tatizo tu la kiakili, but physically u r fit!
Pole Sana,sululisho la nguvu za kiume kwanza,Jitahidi kula chakula kamili,Pili jitahidi kufanya mazoezi,Tatu jitahidi kupata muda wa kupumzika angalau kila siku,Nne punguza mawazo,Tano epuka vyakula vya viwandani vilivyosindikwa kula vyakula asili,Sita Epuka Musterbation/punyeto.
 
Amini pasi na shaka hiki ninachokuambia, nguvu unazo, tatizo saikolojia yako imesharibiwa na ile faikure yabkwamza kabisa.., sasa jinsi unavyozidi kuwaza ndivyo unatakavyozidi kupata wasiwasi wakati wa tendo, ukishaanza kudoubt tu, moja kwa moja adrenaline inaachiliwa kwenda kwenye damu, na moja kwa moja mashine italala.., sasa dawa hapa ni upogwe Placebo.., anza kufanya Kegel exercises kama placebo tu, japo nguvu unazo tayari..

YOUR PROBLEM IS PURELY PHSYCHOLOGICAL, ndio maana ukienda kwa mchepuko ambaye huna wasiwasi wala pressure ya kuperform, akili yako inatulia na unapiga show…, hicho kitu nimekisikia sana, mtu anashindwa kwa mkewe, ila nje anapiga safi kabisa, ni tatizo tu la kiakili, but physically u r fit!
Ndo mim Sasa kwa mke nashindwa kwa mchepuko Tena nlipiga vizur Tena wawili mmoja alitokea bahat mbaya nkapiga nae fresh...Sasa hii kwangu ndani nin nin maana hata uume nkilala usiku usingizi nkistuka kukojoa haujasimama yaan hata nimejaribu kuangalia x napo baado sisimki hausimami ...Cha ajabu mwezi mmoja nyuma nimepiga mech mbili za nje vizur tu
 
Mkeo ni mbabe kuliko wewe,mke akiwa anajishusha unakuwa na nguvu.
Piga hiyo mipango kando uhakikishe kama ni kweli,
pili siku hizi watu tunatumia asali inaitwa honeymoon.ukiila hiyo wiki nzima we ni show tu .TUMIA HALAFU UONE KAMA bado unalala.
 
Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka12.. nna kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana..pia nna ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa...mawazo yamekua mengi...ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa
Mama mijengo sijui shida iko wapi aloooh! ☺️☺️
 
Back
Top Bottom