Umri miaka 38 nguvu za kiume zimeisha kabisa nina thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa

Umri miaka 38 nguvu za kiume zimeisha kabisa nina thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa

Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka12.. nna kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana..pia nna ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa...mawazo yamekua mengi...ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa
Bado ngazi mbili ufike ghorofa ya nne. Unapoelekea kwa dalili zako inabidi
1. punguza kiasi cha sugar,
2.fanya mazoezi,
3.punguza pombe,
4. Punguza nyama choma,
5. Punguza kiasi cha mafuta.
6.Jitahidi usiwe na msongo
7. weka malengo unayoyafikia.
8. Kunywa maji
9.Acha michepuko
10.Omba Mungu
11. Acha kuangali ngono
12. Acha kujichua

Huna shida yoyote ila unaelekea kwenye shida. Zingatia namba 11 na 12. Kuoa sio kigezo.
 
Nguvu huna bado una mpango wa kando...endelea mpaka mpango wa kando uwe mpango kamili....
Badala ukae na mkeo mtatue tatizo...ndo maana mnalaaniwa..
Mwanaume kutest nje ni jadi, huwezi kuwa na mke tu hapo ndani. Ona sasa amepata confidence kidogo baada ya show kali ya away, ni kama thimba alivyoshinda moja-bila jana🤣
 
Mke nimbabe fl
Mkeo ni mbabe kuliko wewe,mke akiwa anajishusha unakuwa na nguvu.
Piga hiyo mipango kando uhakikishe kama ni kweli,
pili siku hizi watu tunatumia asali inaitwa honeymoon.ukiila hiyo wiki nzima we ni show tu .TUMIA HALAFU UONE KAMA bado unalala.
fla
Bado ngazi mbili ufike ghorofa ya nne. Unapoelekea kwa dalili zako inabidi
1. punguza kiasi cha sugar,
2.fanya mazoezi,
3.punguza pombe,
4. Punguza nyama choma,
5. Punguza kiasi cha mafuta.
6.Jitahidi usiwe na msongo
7. weka malengo unayoyafikia.
8. Kunywa maji
9.Acha michepuko
10.Omba Mungu
11. Acha kuangali ngono
12. Acha kujichua

Huna shida yoyote ila unaelekea kwenye shida. Zingatia namba 11 na 12. Kuoa sio kigezo.
Namba 11 na 12 sifanyagi kabisa
 
Mkeo ni mbabe kuliko wewe,mke akiwa anajishusha unakuwa na nguvu.
Piga hiyo mipango kando uhakikishe kama ni kweli,
pili siku hizi watu tunatumia asali inaitwa honeymoon.ukiila hiyo wiki nzima we ni show tu .TUMIA HALAFU UONE KAMA bado unalala.
Mke nimbabe flani hivi huwa simwepesi kujishusha akikosea au napo mrekebisha mambo flani flani
 
Wengi wameshauri vizuri, ila mm naongezea na angalizo la vyakula unavyokula, achana na machips, soda, makuku ya kisasa na nyama nyekundu..,fanya mazoezi kimtindo na kunywa maji mengi, punguza pombe, kula matunda basi hiyo kitu lazima isimame yenyewe.
Mchawi ni ww mwnyw mzee!
 
Ila majuzi nimepata maumivu ya mgongo usawa wa Figo kushuka Hadi kiuno choote yakadumu kwa siku5 kwenda hospital,pima Figo,UTI,thyphoid,full blood picture Iko sawa...ila kazi yangu niyakukaa mda mrefu kwenye kiti
 
Wengi wameshauri vizuri, ila mm naongezea na angalizo la vyakula unavyokula, achana na machips, soda, makuku ya kisasa na nyama nyekundu..,fanya mazoezi kimtindo na kunywa maji mengi, punguza pombe, kula matunda basi hiyo kitu lazima isimame yenyewe.
Mchawi ni ww mwnyw mzee!
Vip kuhusu ugonjwa wa goita,bawasiri haviwezi kuniathiri
 
Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka12.. nna kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana..pia nna ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa...mawazo yamekua mengi...ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa
Sasa unataka nini trna kama ushakuwa poa?
 
Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka12.. nna kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana..pia nna ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa...mawazo yamekua mengi...ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa
Mpango wa kando una mbususu tamu kuliko wife 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka 12

Nina kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana.

Pia nina ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa mawazo yamekua mengi ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa
Pole sana..

Ni kweli tatizo la hyperthyroidism linapelekea ukosefu wa nguvu za kiume kwa namna tofauti tofauti, kutokana na changamoto ya ugonjwa wenyewe ambapo tezi ya thyroid inasababisha ongezeko la utendaji kazi wa kimwili kupita kiasi (increased metabolic activities).

Huwa inaathiri mifumo mingi iliyomo ndani ya mwili ila tukifocus kwenye tatizo lako, hyperthyroidsm hupelekea matumizi makubwa ya steroid hormones kama testosterone, hormone ambayo inahusika kwa kiasi kikubwa kumpa mwanaume uzalishaji bora wa mbegu na nguvu za kiume.

Pia vile vile inapelekea psychomotor effect, mtu anakuwa restless na anxious, jambo ambalo wote tunajua mtu yeyote anayekuwa na mambo kama hayo hawezi kufocus kisawasawa kwenye tendo la ndoa.

Dawa ya matatizo yote hayo, kwanza linaanzia kwenye matibabu ya tatizo lenyewe, kwa maana upone kwanza hilo tatizo la hyperthyroidism, kwa ku adhere kwenye matibabu na dawa. Thyroid levels zikishakaa sawa ndio mwanzo wa ku overturn tatizo lako, unless kama litaendelea, hapo ndio daktari ataweza kutumia njia nyengine.
 
Pole sana..

Ni kweli tatizo la hyperthyroidism linapelekea ukosefu wa nguvu za kiume kwa namna tofauti tofauti, kutokana na changamoto ya ugonjwa wenyewe ambapo tezi ya thyroid inasababisha ongezeko la utendaji kazi wa kimwili kupita kiasi (increased metabolic activities).

Huwa inaathiri mifumo mingi iliyomo ndani ya mwili ila tukifocus kwenye tatizo lako, hyperthyroidsm hupelekea matumizi makubwa ya steroid hormones kama testosterone, hormone ambayo inahusika kwa kiasi kikubwa kumpa mwanaume uzalishaji bora wa mbegu na nguvu za kiume.

Pia vile vile inapelekea psychomotor effect, mtu anakuwa restless na anxious, jambo ambalo wote tunajua mtu yeyote anayekuwa na mambo kama hayo hawezi kufocus kisawasawa kwenye tendo la ndoa.

Dawa ya matatizo yote hayo, kwanza linaanzia kwenye matibabu ya tatizo lenyewe, kwa maana upone kwanza hilo tatizo la hyperthyroidism, kwa ku adhere kwenye matibabu na dawa. Thyroid levels zikishakaa sawa ndio mwanzo wa ku overturn tatizo lako, unless kama litaendelea, hapo ndio daktari ataweza kutumia njia nyengine.
Tatizo la hyperthyroidsm lilikaa sawa hormones zilikaa sawa ila Bado nko kwenye dozi Sasa hii nguvu kuishiwa ndo sjui Bado shida nin...alafu ni diffuessed multnodular goita
 
Habar wakuu nimeoa ndoa ya miaka 12

Nina kuja kwenu tatizo kadri miaka inasogea linakua kubwa zaid nguvu zangu zakiume zimepungua kama sikuisha Sina msisimko kabisa uume hausimami sometime inasimama ila dhaifu mno hofu imekua kubwa sana.

Pia nina ugonjwa wa thyroids hyperthyroidsm nimeidhibiti kwa dawa mawazo yamekua mengi ila kama mwezi mmoja nyuma nimepiga mpango kando show ikawa Iko poa

Pole sana.

Mojawapo ya madhara ya ugonjwa wa hyperthyroidism ni kuathiri uzalishaji wa homoni ambazo huhusika katika kuleta hamu ya tendo la ndoa nk.

Kama unazingatia dawa kwa ajili ya hyperthyroidism hongera kwa sababu dawa husaidia kudhibiti dalili za ugonjwa huo.

Pia ni muhimu uwe unaenda clinic walau kila mwezi kupima viwango vya homoni za thyroid (dundumio) pamoja na vipimo vingine kama sukari (blood sugar), mafuta kwenye damu (lipid profile) nk ili kama vipo ktk kiwango cha juu utibiwe ipasavyo.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom