Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safioa au olewa ukiwa tayari, hivyo vya umri ndo vinafanya watu waingie ndoani kwa presha na mihemko tu
Mwanaume hana umri wa kuoa yeye hata akiwa kikongwe anaoa tu.Mwanaume kwa kawaida anaoa akiwa na umri gani?
Umri sahihi wa kuoa au kuolewa ni ukiwa hai , kama unaishi na kupumua mda wowote unaweza olewa au kuoa.
Nipo kiongozi.....
😀😀bila mikakati hutoboiNaona toka jana nyuzi zako zipo kimkakati sana, usisahau kulipia Tangazo!