Umri sahihi wa kuolewa au kuoa ni upi?

Umri sahihi wa kuolewa au kuoa ni upi?

Nimeona watu wana kipato na hawajaoa pia nimeona wasio nakipato wameoa , hili jambo ni maamuzi tu halinaga mwongozo.
Wenye kipato na hawajaoa wameamua, na ambao hawana na wameoa wameamua pia, na mtu kuoa au kuolewa huwa tunatofautiana dhima kuu kwa kila mtu, mwingine ni anajenga familia yake, mwingine anazuga siku ziende, na mwingine anatafuna mali hasa wanawake...

Lakin mm naona kwa mwanaume ukiwa na uhakika wa kulisha mke, kuhakikisha anavaa vizuri la kulala vizuri, basi unastahili kuoa...

Sasa ukija kwa wale wanaooa bila kipato sasa huwa wanakula mawe? Mtu ukila hata ugali dagaa kutwa mara 3 ujue una kipato maana huo ugali ubatafutwa na kupatikana baada ya kipato kufanya kazi
 
Wenye kipato na hawajaoa wameamua, na ambao hawana na wameoa wameamua pia, na mtu kuoa au kuolewa huwa tunatofautiana dhima kuu kwa kila mtu, mwingine ni anajenga familia yake, mwingine anazuga siku ziende, na mwingine anatafuna mali hasa wanawake...

Lakin mm naona kwa mwanaume ukiwa na uhakika wa kulisha mke, kuhakikisha anavaa vizuri la kulala vizuri, basi unastahili kuoa...

Sasa ukija kwa wale wanaooa bila kipato sasa huwa wanakula mawe? Mtu ukila hata ugali dagaa kutwa mara 3 ujue una kipato maana huo ugali ubatafutwa na kupatikana baada ya kipato kufanya kazi
Basi nitaoa naweza kulisha ugali dagaa kutwa mara tatu😁
 
Hata waliosema miaka 18 ni mtu mzima walikosea, watu tunatofautiana akili na makuzi
Ni kweli, japo ukienda Usukumani mabinti wadogo wa Chini ya miaka hata 15 unakuta wanaolewa kupitia zile sherehe zao za "Chagulaga"

Iwapo Mwanaume umejipanga vizuri kiuchumi unaweza Kuoa huyo binti wa miaka 18 lakini ukalazimika kumuongoza Kwa Kila jambo.

Maana anakuwa Hana exposure ya Elimu Wala maisha
 
Basi nitaoa naweza kulisha ugali dagaa kutwa mara tatu😁
Utaangalia na aina ya mke unaetaka kumuoa, kama hataki huo mlo bora uendelee kusubiri, mimi sijawahi kuishi na mwanamke kwa miaka 6 sasa, huwa najaribu kuangalia anaenifaa sionag kabisa yaani...
 
Ni kweli, japo ukienda Usukumani mabinti wadogo wa Chini ya miaka hata 15 unakuta wanaolewa kupitia zile sherehe zao za "Chagulaga"

Iwapo Mwanaume umejipanga vizuri kiuchumi unaweza Kuoa huyo binti wa miaka 18 lakini ukalazimika kumuongoza Kwa Kila jambo.

Maana anakuwa Hana exposure ya Elimu Wala maisha
Issue nyingine inayofanya vijana waoe vitoto vya kike vidogo ni kwamba..

Mwanamke mwenye umri wa miaka 20 na kuendelea, huwezi kumkuta akiwa single, na ukimuoa ujue kuna mume mwingine pembeni...

Ila mimi natafuta mwenye umri wa miaka 25+ nna kipimo changu mwenyewe nakielewa
 
Back
Top Bottom