Unaweza kubahatikaHata vijijini hupati mwenye 25+, hapo labda ukute wale wasomi wenye roho ngumu
Mtu akisoma ud anakuwa mtu mwingine, ila sio woteUnaweza kubahatika
Ama nenda Chuo Kikuu cha DSM school of Education unaweza kubahatika Kupata first year ambaye anaweza asiwe used sana
Naibiwaje pesa aloo mama lai☹️☹️☹️Hope urassa 😂 Shombe Shombe la wapi wewe? Najua huwezi Ibiwa pesa.
Walimu wengi huwa hawana Makuu sana kama utakayempata UDBS ama school nyingine 😜Mtu akisoma ud anakuwa mtu mwingine, ila sio wote
Udbs ndo udsm auWalimu wengi huwa hawana Makuu sana kama utakayempata UDBS ama school nyingine 😜
UDBS ni school Moja wapo inayopatikana Chuo Kikuu cha DSM ikitoa Shahada mbalimbali zihusuzo Masomo ya BiasharaUdbs ndo udsm au
Koh Koh Koh .............😅
Vipi jua lishaanza kwenda machweo nini, 😂😂Mamboo
Naomba mnijuze umri sahihi wa kuolewa au kuoa ni upi tusije pishana na umri.
Mwanaume kwa kawaida anaoa akiwa na umri gani?
Usimpoteze kwenye ramani bhn mapenzi hayampelekeshi mtu isipokua Haya mazingira unayoingia kwenye mapenzi je!yanaruhusu vitu vingine kua kwenye mstari Familia ni kitu muhimu sana huezi ishi kama Gobole siku zoteHuyu sista ameachwa kachanganyikiwa, cuterey wapo watu tunapenda mpaka future yako, ila tumetulia hatuna haraka, acha kuendekeza mapenzi
Ila kwer👍The right time to marry is when you find someone you are happy with, compatible with, and love. Not when you decide your marriage partner should "fix" your social issues, or because you feel you "have to" marry someone at some time. Age, career, success does not indicate whether or not you should marry…
To expect a spouse to fix your social situation and your loneliness places a huge burden on someone else. A burden that is yours to fix, not theirs. Instead of focusing on a spouse/marriage, focus on making friends, expanding interests and social options. Making friends and expanding/creating a social circle will improve your chances of finding the right person for you..
Toka jana hayuko sawa😅Vipi jua lishaanza kwenda machweo nini, 😂😂
Watu wameshindwa kutofautisha stress na kuvurugwa apa 😂Kaachwa huyu anatafuta nusra😂😂
Amekaa kimkakati..huyu anataka faraja😂😂Watu wameshindwa kutofautisha stress na kuvurugwa apa 😂