GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Habarini ndugu zangu, kaka na dada zangu. Kiuhalisia leo naandika huku nikiwa nimejawa huzuni, majonzi na sononeko kubwa sana moyoni.
Nikitizama umri wangu kwa kweli umeenda na mpaka sasa sijashika mwenza wa kusema huyu ni wangu nami ni wake. Nimechoka maisha ya kuhangaika na wanawake nimewaza week nzima maisha ninayo ishi najikuta nakosa kitu muhimu sana.
Nmeamua kubadilika kuwa mtu mwa nami sasa nahitaji wife. Seriously nahitaji mwanamke ambaye tutapendana.
Sifa zake ziwe ni hizi;
1. Asiwe mlevi kama anakunywa basi iwe kiasi tu kwa hamu
2. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha sita na kuendelea. Asiwe alifail kidato cha sita.
3. Awe tayari kupima afya kabla hatujaanza mahusiano.
4. Awe na rangi yoyote ile ya asili asiwe amejichubua.
5. Awe na umbo maridhawa asiwe mwembamba sana, awe na umbo lilolojigawa na pia anayependeza.
6. Anipende kwa mapenzi ya dhati asiwe na hasira, matusi kwangu au kwa mtu yeyote.
7. Kama ana mtoto then mtoto wake asizidi miaka 5. Na nipate uhakika ameshaachana na baba wa mtoto kabisa. Mimi nina mtoto mmoja so tunaweza ongeza mmoja pia. Ampende mtoto wangu asimtese.
8. Awe na kazi kama hana awe tayari nimfungulie biashara atayoiweza ila baada ya kuwa tuna uhakika wa kuishi pamoja. Awe tayari kubadilisha ID aliyokuwa anatumia humu ndani.
9. Awe msafi wa mwili na roho, asiwe mchoyo na mwenye dharau. Ajipende avae apendeze niende naye popote pale na pia aweze kukutana na rafiki zangu ambao wengi ni wazungu so ajue lugha ya kiingereza.
10. Awe na mapenzi ya dhati kwangu, awe na akili za kiutu uzima za maendeleo na kutunza family hasa napokuwa nimesafiri.
Umbo lake naomba tafadhali liwe la mvuto maana sipendi niwe na mwanamke halafu nianze tamani wa nje. Ajiamini na ajione yu mzuri, aweze kunimiliki na kuniona mimi ni mali yake kama yeye alivyo mali yangu. Mwepesi kusamehe na mwenye kunikosoa na kunifunza. Kama kuna mtu tupo serious naomba tuwasiliane naye pembeni tuanze na urafiki kwenye simu na baadaye tuonane. Awe Dar maana ni rahisi zaidi kuonana naye.
Nimeandika haya kwa udhati wa moyo wangu sijashinikizwa na mtu na wala simjaribu mtu. Naombeni sana mnisamehe kwa mengine yote ya kale.
NAHITAJI MCHUMBA.
Nikitizama umri wangu kwa kweli umeenda na mpaka sasa sijashika mwenza wa kusema huyu ni wangu nami ni wake. Nimechoka maisha ya kuhangaika na wanawake nimewaza week nzima maisha ninayo ishi najikuta nakosa kitu muhimu sana.
Nmeamua kubadilika kuwa mtu mwa nami sasa nahitaji wife. Seriously nahitaji mwanamke ambaye tutapendana.
Sifa zake ziwe ni hizi;
1. Asiwe mlevi kama anakunywa basi iwe kiasi tu kwa hamu
2. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha sita na kuendelea. Asiwe alifail kidato cha sita.
3. Awe tayari kupima afya kabla hatujaanza mahusiano.
4. Awe na rangi yoyote ile ya asili asiwe amejichubua.
5. Awe na umbo maridhawa asiwe mwembamba sana, awe na umbo lilolojigawa na pia anayependeza.
6. Anipende kwa mapenzi ya dhati asiwe na hasira, matusi kwangu au kwa mtu yeyote.
7. Kama ana mtoto then mtoto wake asizidi miaka 5. Na nipate uhakika ameshaachana na baba wa mtoto kabisa. Mimi nina mtoto mmoja so tunaweza ongeza mmoja pia. Ampende mtoto wangu asimtese.
8. Awe na kazi kama hana awe tayari nimfungulie biashara atayoiweza ila baada ya kuwa tuna uhakika wa kuishi pamoja. Awe tayari kubadilisha ID aliyokuwa anatumia humu ndani.
9. Awe msafi wa mwili na roho, asiwe mchoyo na mwenye dharau. Ajipende avae apendeze niende naye popote pale na pia aweze kukutana na rafiki zangu ambao wengi ni wazungu so ajue lugha ya kiingereza.
10. Awe na mapenzi ya dhati kwangu, awe na akili za kiutu uzima za maendeleo na kutunza family hasa napokuwa nimesafiri.
Umbo lake naomba tafadhali liwe la mvuto maana sipendi niwe na mwanamke halafu nianze tamani wa nje. Ajiamini na ajione yu mzuri, aweze kunimiliki na kuniona mimi ni mali yake kama yeye alivyo mali yangu. Mwepesi kusamehe na mwenye kunikosoa na kunifunza. Kama kuna mtu tupo serious naomba tuwasiliane naye pembeni tuanze na urafiki kwenye simu na baadaye tuonane. Awe Dar maana ni rahisi zaidi kuonana naye.
Nimeandika haya kwa udhati wa moyo wangu sijashinikizwa na mtu na wala simjaribu mtu. Naombeni sana mnisamehe kwa mengine yote ya kale.
NAHITAJI MCHUMBA.