Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma hata siamini kama ni gudume ndio kaandika hapo!! Au ac iko hacked!!!
Kwanini Unaishi maisha hayo, huoni kwamba sio sawa kwenye jamii inayokuzunguka!? Je hwa unashiriki matukio ya majirani zako? Unapataje taarifa wakati unajifunga getini?Mtaani sina muda ndugu yangu nikirudi najifungia getin ndo siku imeisha.nobody knows me na i know nobody. Kazini nako wengne wameolewa wengine wan files chafu.
Yet here you are!!! Basi sawa.sijawah kosa mwanamke wa aina yoyote ile. nami huwa nakuwa na mahusiano na watoto wazuri wazuri....
[emoji28] [emoji28]kumsomesha mtu hakujawahi kumwacha mtu salama[emoji1] [emoji1] kitanz kinataftwanga hv
Cc saint ivunga,inna
Kutoka kwenye decent girl had kuwa bad girl
Utaliwa.Morning
Kivp sasa nshakua kua bad girl?Kutoka kwenye decent girl had kuwa bad girl
Umekuwa bad girl kwa kweli.Kivp sasa nshakua kua bad girl?
Umesema vema mkuu amekuja na masharti lukuki kumbe ni kibabu umri tafadhariIla ungeweka umri wako ingependeza zaidi.
fursa hiyoMungu wetu ni mwema, atatimiza hitaji la moyo wako usichoke kumuomba tuu.