Hapana aiseeh,
Sina vigezo mkuu wengine shule tulikimbia siku nyingi nani anataka kurudishwa darasani sasahivi? Acha nimuombee apate hitaji la moyo wake [emoji26]
how nakwambia ni wa ku spend nao tu. unajua sisi wanaume tuna wanawake wa ku... na wanawake wa kuoa. kwa sasa nataka mwanamke mzuri ambaye ni wa kuwa mke si akina ...... hao muda wao ulishaisha.
Hapana aiseeh,
Sina vigezo mkuu wengine shule tulikimbia siku nyingi nani anataka kurudishwa darasani sasahivi? Acha nimuombee apate hitaji la moyo wake [emoji26]
Je akiwa na yote hayo lakini akawa kama shirika la ugawaji atakuwa safi.
Taja umri wako kama masaa yamekwenda darasa la saba kama anasifa anakufaa zaidi