Umri umefikia, natafuta mwanamke wa kuoa ila awe na hela


Wewe ni therapist mzuri sana, niombee tu.
 
Upo sahihi kabisa
Kuna watu wanadharau mawazo ya watu humu lazma watambue
Mawazo na fikra za watu haziwezi kua sawa hata siku moja,ndomana hata manabii waliotumwa na mungu kuna watu walio wapinga na kuwakataa na ndio maana upinzani pia upo hakuna kusiko na upinzani na ni hatari sana kumlazimisha MTU afikiri kama unavyofikiri
 
Kumbe yule single mama alikuacha shida ilikuwa hapa[emoji4]
Jitahidi kufanya kazi kwa bidii ..pesa ya mwanamke ina sabufa ndani.
Ukishaweza kusimama mwenyewe utakuwa huru zaidi kuliko utegemee kusimama kwa pesa ya mwanamke.

Laiti ungelijua ungekaa kimya ila ni haki yako kuchangia
 

Chukua bia nitalipia
 
Nimekupa ushauri huo kaka yangu
Unaweza kuuchukua au kutouchukua.
Kama unaona haufai ni sawa tu ila kutengeneza ideas za kutegemea hela ya mwanamke utakuja ulie.
Tafuta pesa zako kwanza

Pesa nilizonazo hazinitoshi


Halafu hivi vimesemo vya tafuta pesa kwanza nilishazoea njoo na msemo mwingine labda nitakuelewa.
 
Vichwa hivi vichwa sio vichwa mikuki
Vichwa ukiweka vichwa tunavishuti
Vichwa akili fupi, vichwa vinawaza chupi
Vichwa vinamwiga Snoopy stupid

Then thanks for your stupidity comment

Ngoma draw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…