Umri umefikia, natafuta mwanamke wa kuoa ila awe na hela

Umri umefikia, natafuta mwanamke wa kuoa ila awe na hela

Nimekupa ushauri huo kaka yangu
Unaweza kuuchukua au kutouchukua.
Kama unaona haufai ni sawa tu ila kutengeneza ideas za kutegemea hela ya mwanamke utakuja ulie.
Tafuta pesa zako kwanza
We nawe Dada unaboa na koment zako ni kwamba hujamuelewa brother...kasema anahitaji mwanamke mwenye kipato aoe hajataka pesa zake
 
Mwanamke anafurahi pale anapotetewa na Sera ya ubinafsi...kwa bahati mbay wanaume wa siku hizi nasi hatupo dormant ngoma droo km mnavyotaka 50/50 mwendo mdundo
Ninaonekana nimefurahi RealixT?
Au haihusiani ni comment yangu?
 
Sitaki kupoteza muda maana kichwa cha habari kinajidhihirisha.

Natafuta mwanamke wa kuoa ila awe na hela. Najua wapo wa kunipinga na wengine wapo wa kunishauri kuwa eti "nitafute pesa ili nipate mwanamke wa kuheshimu".

Kwa mawazo yangu na ukweli niujuao ni kwamba, "mapenzi hayachagui wala hayabagui".

Natafuta mpenzi mwenye pesa maana kwa idea nilizonazo endapo tu nipata mwanamke mwenye pesa basi nitaongeza kipato chake mara mbili zaidi ya pesa alizonazo. Kama hutaki kuamini basi wewe dada nitafute PM na uwe serious kama nilivyo.

Nahitaji mwanamke wa kuoa maana nipo mpweke sana na nahitaji mtu ambaye tutaishi naye ili kujenga familia na kuwa na watoto kwaajili ya maisha ya baadaye. Natamani kupata mtu ambaye kama atakuwa anawiwa tufanye vitu vya kuishangaza dunia na JF included.

SIFA ZANGU:

Dini: Roman Catholic
ELIMU: Soma mwandiko wangu
Umri: Under 30
Kazi: ......
Kasi ya mapenzi: 1 hour for two goals (I mean Kunyanduana)
Marital status: Single
Kabila: Tutajuana PM
CONTACT: Njoo PM
Quality Intelligence: Tutapima
Mtoto: Sina
Makazi: Tutajuana PM


SIFA ZA MTU NINAYE MHITAJI:

1. AWE NA HELA
2. Kabila lolote
3. Dini yoyote
4. Aishi sehemu yoyote ile duniani
5. Anipende


NB: Kwa yeyote aliye serious naomba aje PM na nipo serious.

Mwisho: Nahitaji mke kutoka moyoni mwangu mbele ya hii public ya watu zaidi ya laki 5.

Naomba kuwasilisha.
Mbona hujasema MWENYE CHURA

alafu hiyo no. 4 hapo kuna wengine wanaishi makaburini shauri yako
 
Unanibania siyo ?

Ngoja niingie chimbo mwenyewee, nitakupa mrejesho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia chimbo mwenyewe
Na ukimpata ujue huyo alikuwa hajaokoka,ila alikuwa anapretend tu wokovu.
 
We nawe Dada unaboa na koment zako ni kwamba hujamuelewa brother...kasema anahitaji mwanamke mwenye kipato aoe hajataka pesa zake
Kama zimekuboa pambana na hali yako
Tafuteni pesa,msisubiri pesa za wanawake kufanyia mitaji..huo ni udangaji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia chimbo mwenyewe
Na ukimpata ujue huyo alikuwa hajaokoka,ila alikuwa anapretend tu wokovu.
Hakuna aliye okoka duniani ambaye bado anapumua. Acha kutuchezea akili bibie.

Ngoja niingie chimbo.
 
You either need a bank (kwa ajili ya hizo ideas za kudouble kipato) or you need a pimp

Thank me later
 
Back
Top Bottom