Umri umefikia, natafuta mwanamke wa kuoa ila awe na hela

🤣🤣🤣🤣Dunia inakwisha
Badala ufanye kazi unatafuta kudanga mtoto wa kiume

Najaribu kukwepa lakini unakuja, kwa haraka haraka huwa nahisi unatamani kukalia dudu langu ila niweke wazi kuanzia leo kuwa sikutaki.

Kwanza huna hela
 
Najaribu kukwepa lakini unakuja, kwa haraka haraka huwa nahisi unatamani kukalia dudu langu ila niweke wazi kuanzia leo kuwa sikutaki.

Kwanza huna hela
Dudu la mdangaji???
🤣🤣🤣🤣🤣Kweli umevurugwa wewe
 
mbona wanaume tunazingua, mtu ashasema anatakadem mwenye hela sa tunalalamika nn kwani k zetu au za wanawake, siai tutulieni kila mtu na zali lake
 
Mkuu kwa mwandiko wako unajua kuwa unafaa kuwa mwanachama wa mtaga/ccm?
 
mbona wanaume tunazingua, mtu ashasema anatakadem mwenye hela sa tunalalamika nn kwani k zetu au za wanawake, siai tutulieni kila mtu na zali lake

Bora umenisaidia
 
Crystal clear. Thank you.
 
Wanaume mmebaki wachache ustaadh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…