RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kweli nimezeeka. Juzi nilikuwa nakuvusha barabara urnde shule sasa hivi una 30s!😅😅😅 nmefikwa mwaka huu
Au hukuona umri mpya wa watu waliozaliwa 97? Tumefikisha 31
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nimezeeka. Juzi nilikuwa nakuvusha barabara urnde shule sasa hivi una 30s!😅😅😅 nmefikwa mwaka huu
Au hukuona umri mpya wa watu waliozaliwa 97? Tumefikisha 31
Umezeeka saizi kuna umri mpyaa anza kula mafao kabisaKweli nimezeeka. Juzi nilikuwa nakuvusha barabara urnde shule sasa hivi una 30s!
Lazma utafute commited man, imagine mwanaume anavo kuona hajafurahishwa na wewe, ila kaamua kusema anakupendaUnaweza ukawa uko serious Ila mwenzako humuoni kwenye huo u serious so unauacha muda iongee kwenye hayo mahusiano
Nipo kwenye mwendo wa kuondoka, najitahidi kujikusanya vizuri ili nikifika mbele nisije nikageuka nyumaLazma utafute commited man, imagine mwanaume anavo kuona hajafurahishwa na wewe, ila kaamua kusema anakupenda
Lazima msikilizane na lazima mkae chini mwone kipi hakijakaa sawa.Nipo kwenye mwendo wa kuondoka, najitahidi kujikisanya vizuri ili nikifika mbele nosike nikageuka nyuma
Hapo pa yesu tu ndio umeharibu. Yesu kakupa uhai?Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru sana Mungu.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Tatizo sio miaka, wala Mungu tatizo ni wewe mwenyewe. Trust me if you won't workout on your inner you miaka itakuja na kupita. Wake upMiaka yangu 27 inanitetemeshaaaaa