Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
- Thread starter
- #101
SawaJUmbe zimekuwa nyingi.
Njoo pm nikuelekeze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaJUmbe zimekuwa nyingi.
Njoo pm nikuelekeze.
Kwahiyo unashukuru wenzako wamekufa wewe umebak sio?Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru mungu kwasababu sikuile tulizaliwa wengi na leo hawapo.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema kwasababu kuna ambao wapo hukooo wapigania uhai waooo hata waweze kuamka kitandani
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
DuhKwahiyo unashukuru wenzako wamekufa wewe umebak sio?
Sijawahi tumia hivi vitu maisha katika miaka 26 niliyoishi hapa Duniani, Mungu anayeona sirini ananishuhudiaMiaka 27 huna mtoto akili yangu inawaza mambo ya p2, abortion & changamoto za uzazi
SawaWaombe moderators wataifunga. Ila ndio hivi mnajifungia ndani halafu mnakuja kulalamika hamna mahusiano. Kwani kama PM ni ya kipuuzi si unaiacha tu ?
SbukranUmejuaje kuwa huna chochote?...
Ni nini kinachokuambia kuwa hivyo unavyovitaja ni vyovyote?..
Mkuu jifunze kutokea ndani yako na siyo nje yako....hayo yote unayoyataja ni elimu uliyomezeshwa nje yako ila ndani yako kuna kila kitu.
................................................................................................................................................................
Nina uhakika wa zaidi ya asilimia 100% kuwa pamoja na hayoyote uliyoyataja kuna wakati unakisikia ndani yako vizuri na hapo ndipo ulipo " ni wewe" patumie vizuri.
Upo mkoa gani nduguMwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru sana Mungu.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Njoo basi inbox mimi ni mwanaume nae elewekaMwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru sana Mungu.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Una mahusiano mangapi?3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
Bas mama Linda afya yako, kila jambo na wakati wake, Mpaji MunguSijawahi tumia hivi vitu maisha katika miaka 26 niliyoishi hapa Duniani, Mungu anayeona sirini ananishuhudia
Sijui uko wapi nikupe soda, lakini kuna ulilo liacha wacha mimi nimalizie, kama unaenda mjini basi uwe na zali, la mwisho maisha ya miji inayokuwa ndiyo mazuri kwa anaye jitafuta.Kijijini kwenu wazazi hawana ardhi, mashamba, mifugo, mitumbwi, nyavu n.k
Jamii zingine kama za watanzania wenye asili ya Kiarabu, Kihindi, Kisomali vijana hutegemewa kuendeleza pale walipoishia wazazi.
Hili suala la kukimbilia mjini wakati wazazi hawana chochote walichowekeza mjini lakini kijijinj wana mali nilizotaja hapo paragraph ya pili ni kujiita masikini wakati siyo kweli baba wa babu alimrithisha babu, naye babu yako akamrithisha baba yako mali hizo kijijini.
Lakini wewe umezipuuza kukimbilia mjini kutaka kuigiza familia ambazo tayari walifika mjini kitambo unataka kujifananisha nazo, hilo ni kosa kubwa.
Rudi kijijini ukaendeleza pale wazazi walipoishia, ya mjini waachie ambao wazazi wao waliwekeza kitambo na usisononeke kuona wenzio wana majumba, ardhi, daldala, kampuni n.k mjini ukataka kushindana nao. Wa mjini wameachiwa na wazazi na kuendeleza.
Kifupi wewe siyo masikini, lakini hufahamu hilo. Rudi haraka kijijini.
Unavo sema haupo kwenye commited relationship huwa una maana gani???..... yakubali mahusiano yako na ujue ulikosea wapi??? wanawake baadhi wanapenda maisha ghali ya kukua haraka haraka.Niko hapa na 29yrs Sina mtoto, sina mume na siko kwenye committed relationship, Sina kipato Cha kueleweka ingawa nilikuwa nimeanza kusimama yakatokea yakutokea nipo naanza moja bado sitetemeki Ila tu napambana ili nipate kuinuka Tena, kikubwa usijikatie tamaa, jifunze kwa waliofanikiwa Ila kamwe usijilinganishe na wengine Cha muhimu wewe zishinde mechi zako
Sijui huwa mnafikiria nini wanaume wengi27 huna mtoto? Sijui kwann nimekua negative juu ya hii statement
Ndg. Je, Miezi kadhaa hii ukiwa tayari na Miaka 27, Je umeshaanza weka tik kwa yepi?, Lakini pamoja na vyote ulivyosema huna, Je nini umejifunza na umepata kwa miaka 27 duniani. Tujuze kama hutojali.Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru sana Mungu.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃🏃 tatizo ni makuzi yake kipindi anafundishwa kusoma na kuandika, mwalimu wake alikuwa na haraka sana.Toka 2008 uko humu bado hujajua kuandika tuu mkuu.
Duh 😂Kwa mwanamke 27 years ni Mzee tayari
Mangi in the building, ngoja ninywe mbege kwanza hapa kibosho 😅😅😅Kabisaaaaa dia hakuna kama Mungu na hajawahi kushindwa m na dada zangu wa upande wa kina mama wadogo wakikuwa hoi kuanzia mahusiano maisha nkawapa moyo sana mwisho wakanza kulia pa kulalia nkamwambia Mungu nawapa chumba kimoja wapambane nacho wamekaa kwangu 3 yrs akaolewa mmoja send-off mamake akaomba ifanyikie kwangu tulikula bata batan sijapata kuona.........wapili akapata kazi Airport gafla akaniambia na bwana ananipenda wa kithungu nkamwambia pita nae dia he she we I was were this that si unazikumbuka yes dady
Nw ana mtoto wakishombe mjomba nasubiria mahari akikua kamantakuwepo...
Never gvup
Na analipia mwanangu ada pamoja na kumkataza aliruka zaidi akaenda shule akaomba acc no nikarushiwa msg loh....
Kama una changamoto ya chumba ntafute siokikubwa kuanzia maisha nakupa bure miezi 8 mpaka mwaka uwe umepambania mwingine aingie