Umri unaenda, nachanganyikiwa

Umri unaenda, nachanganyikiwa

Hee! Mi dada ako nna 31
Sifa zangu ni - jobless - sijazaa -sijasoma - similiki mume - sina mchezo/kikoba/kiwanja/nyumba - sina mahusiano serious na sitegemei
Tena umri unavyozidi kwenda ndo nazidi kupandisha vigezo vingi vya mume nnaemtaka!
Ila siko desperate hata!!! Nahofia kufa sijalifanya kusudi la maisha yangu! Kama unavyojua kila mwanadamu ana kusudi lake duniani moja ama mengi ila mimi nikifa sijawa MSHAURI NASAHA/MZEE WA BARAZA ntajuta kuliko kuwa nayo yote hayo ya duniani
Wewe ulishajipambanua kuwa una danga kwenye five star hotels na maeneo kama hayo so huwezi kuwa na hofu kwakuwa path yako ni tofauti na mleta mada.
 
Hee! Mi dada ako nna 31
Sifa zangu ni - jobless - sijazaa -sijasoma - similiki mume - sina mchezo/kikoba/kiwanja/nyumba - sina mahusiano serious na sitegemei
Tena umri unavyozidi kwenda ndo nazidi kupandisha vigezo vingi vya mume nnaemtaka!
Ila siko desperate hata!!! Nahofia kufa sijalifanya kusudi la maisha yangu! Kama unavyojua kila mwanadamu ana kusudi lake duniani moja ama mengi ila mimi nikifa sijawa MSHAURI NASAHA/MZEE WA BARAZA ntajuta kuliko kuwa nayo yote hayo ya duniani
Mdogo wangu umefika lini 30yo?
 
Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27

1 - Sina kazi

2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)

3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka

4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)

Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru mungu kwasababu sikuile tulizaliwa wengi na leo hawapo.

Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema kwasababu kuna ambao wapo hukooo wapigania uhai waooo hata waweze kuamka kitandani

Ahsante yesu kwa zawadi hii y35a uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa

Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
27yo bado binti mbichi kabisa. Huna cha kuhofia. 27-35 umri mzuri wa kuolewa.
 
Niko hapa na 29yrs Sina mtoto, sina mume na siko kwenye committed relationship, Sina kipato Cha kueleweka ingawa nilikuwa nimeanza kusimama yakatokea yakutokea nipo naanza moja bado sitetemeki Ila tu napambana ili nipate kuinuka Tena, kikubwa usijikatie tamaa, jifunze kwa waliofanikiwa Ila kamwe usijilinganishe na wengine Cha muhimu wewe zishinde mechi zako
29 bila mtoto duh tatizo ilo wewe hufai sasa kubwa zima ivyo hujui ata changamoto za kua na familia wewe hufai.
 
Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27

1 - Sina kazi

2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)

3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka

4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)

Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru mungu kwasababu sikuile tulizaliwa wengi na leo hawapo.

Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema kwasababu kuna ambao wapo hukooo wapigania uhai waooo hata waweze kuamka kitandani

Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa

Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
USIOGOPE.
Neno "USIOGOPE" limetajwa mara 365 ndani ya Biblia. Mathalani katika nukuu kutoka waraka wa Tito 2:13 inaeleza Yesu Mungu Mkuu anakwambia usiogope, maana yupo pamoja nawe.

Mwaka mmoja una siku zipatazo 365 idadi sawa na ile ya neno hilo ndani ya maandiko haya matakatifu. Kwa hiyo kama ndivyo hivyo, basi siku zote JIPE MOYO kwani yote utayashinda. Kumbuka usijinenee neno lolote baya kwani Ibilisi atalichukua na kuli "brand" katika maisha yako, na wewe utakuwa hivyo.
 
Back
Top Bottom