Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
- Thread starter
- #61
SawaSiku hizi matangazo mnayaweka kitaalamu sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaSiku hizi matangazo mnayaweka kitaalamu sana!
Wewe ulishajipambanua kuwa una danga kwenye five star hotels na maeneo kama hayo so huwezi kuwa na hofu kwakuwa path yako ni tofauti na mleta mada.Hee! Mi dada ako nna 31
Sifa zangu ni - jobless - sijazaa -sijasoma - similiki mume - sina mchezo/kikoba/kiwanja/nyumba - sina mahusiano serious na sitegemei
Tena umri unavyozidi kwenda ndo nazidi kupandisha vigezo vingi vya mume nnaemtaka!
Ila siko desperate hata!!! Nahofia kufa sijalifanya kusudi la maisha yangu! Kama unavyojua kila mwanadamu ana kusudi lake duniani moja ama mengi ila mimi nikifa sijawa MSHAURI NASAHA/MZEE WA BARAZA ntajuta kuliko kuwa nayo yote hayo ya duniani
Miaka 27 huna mtoto akili yangu inawaza mambo ya p2, abortion & changamoto za uzaziKwann?... haijakaa sawa ??
Waombe moderators wataifunga. Ila ndio hivi mnajifungia ndani halafu mnakuja kulalamika hamna mahusiano. Kwani kama PM ni ya kipuuzi si unaiacha tu ?Naomba mnielekeze jinsi ya kulock pm yaan mtu asiweze kuniandikia ujumbe pm
Mdogo wangu umefika lini 30yo?Hee! Mi dada ako nna 31
Sifa zangu ni - jobless - sijazaa -sijasoma - similiki mume - sina mchezo/kikoba/kiwanja/nyumba - sina mahusiano serious na sitegemei
Tena umri unavyozidi kwenda ndo nazidi kupandisha vigezo vingi vya mume nnaemtaka!
Ila siko desperate hata!!! Nahofia kufa sijalifanya kusudi la maisha yangu! Kama unavyojua kila mwanadamu ana kusudi lake duniani moja ama mengi ila mimi nikifa sijawa MSHAURI NASAHA/MZEE WA BARAZA ntajuta kuliko kuwa nayo yote hayo ya duniani
Bado hujaijua dunia.Miaka 27 huna mtoto akili yangu inawaza mambo ya p2, abortion & changamoto za uzazi
Kwanini rafikiBado hujaijua dunia.
Mambo ya kawaida unaona ya ajabu.Kwanini rafiki
Ungesema basi hata Elimu yako na experience yako na Wapi unapatikana, badala ya kuweka malalamiko yageuze malalamiko yako yawe self marketing strategyNitieni bas hata moyo emu ngoja nianze skin routine
Cha maana una Iphone.Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
Hatuwezi kuwa wanafiki... Mahusiano ya kueleweka yapoje...?? Maana nina uhakika umekataa anayekupenda kisa hana kazi ya kueleweka piaNitieni bas hata moyo emu ngoja nianze skin routine
27yo bado binti mbichi kabisa. Huna cha kuhofia. 27-35 umri mzuri wa kuolewa.Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru mungu kwasababu sikuile tulizaliwa wengi na leo hawapo.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema kwasababu kuna ambao wapo hukooo wapigania uhai waooo hata waweze kuamka kitandani
Ahsante yesu kwa zawadi hii y35a uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Huu uandishi hata Mimi nimekua na mashaka naoHivi wewe ni mwanamke kweli au ni walewale.
29 bila mtoto duh tatizo ilo wewe hufai sasa kubwa zima ivyo hujui ata changamoto za kua na familia wewe hufai.Niko hapa na 29yrs Sina mtoto, sina mume na siko kwenye committed relationship, Sina kipato Cha kueleweka ingawa nilikuwa nimeanza kusimama yakatokea yakutokea nipo naanza moja bado sitetemeki Ila tu napambana ili nipate kuinuka Tena, kikubwa usijikatie tamaa, jifunze kwa waliofanikiwa Ila kamwe usijilinganishe na wengine Cha muhimu wewe zishinde mechi zako
USIOGOPE.Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru mungu kwasababu sikuile tulizaliwa wengi na leo hawapo.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema kwasababu kuna ambao wapo hukooo wapigania uhai waooo hata waweze kuamka kitandani
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Very very powerful 💪 asante Sana