Umri unaenda, nachanganyikiwa

Umri unaenda, nachanganyikiwa

Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27

1 - Sina kazi

2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)

3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka

4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)

Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru sana Mungu.

Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema

Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa

Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Relax
 
Punguza matumiz ya p2 angalau ata mtoto wa kukuzk usikose

Tatzo ukipata ajir utaon umepat ajir
Mwanamke akishapata kazi na pesa hataki kusikia habari ya mwanaume, mifano hai dada zangu wa kichagga waliojipata mapema......

nina dada na watoto wa mjomba wengi wapo over 30 hawana watoto wala hawafikiriii...........laana za kikoloni mbaya sana.
 
Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27

1 - Sina kazi

2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)

3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka

4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)

Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru sana Mungu.

Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema

Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa

Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
miaka 27 bado sana....Ndio kumekucha
 
Niko hapa na 29yrs Sina mtoto, sina mume na siko kwenye committed relationship, Sina kipato Cha kueleweka ingawa nilikuwa nimeanza kusimama yakatokea yakutokea nipo naanza moja bado sitetemeki Ila tu napambana ili nipate kuinuka Tena, kikubwa usijikatie tamaa, jifunze kwa waliofanikiwa Ila kamwe usijilinganishe na wengine Cha muhimu wewe zishinde mechi zako
Great mentality
 
Theist wanamshukuru MUNGU Kwa kuwapa afya na uhai 🤔 je ambao hawana afya na uhai je wameonewa 😂 au ndo MUNGU mpendelevu na muonevu
 
Pale tiiaiesiesi anaweka mtego kijanja kwa wale wataozingatia "27 bila mtoto na sitaki kuwa single maza" waingie pm watoe location.
 
Sijui huwa mnafikiria nini wanaume wengi
Hata mimi nikimtajia mtu umri wangu halafu nikisema sina mtoto anaguna ukichunguza anadhani ushawahi kutoa mimba kitu ambacho sio kweli
Mko wachache ambao hamna watoto ndo maaana ukisema huna mtoto mtu anashangaa
 
Wala usijali kabisa, umuhimu wako kwenye ardhi hii ya dunia ni mkubwa mno kuliko unavyo dhani, huenda maisha yasinge kuwa hivi yalivyo kama usingekuwepo wewe mleta mada.

Katika hali ya kawaida kwa maisha ya mwanadamu yoyote mawazo kama haya hayana budi kuwepo haswa kwa mwenye jaliwa la akili inayochanganua, kuna msemo usemao wasiwasi ndio akili, I wish kuongea nawe private , lakini ujumla wa yote ondoa negative think , maisha ni mazuri sana.
Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27

1 - Sina kazi

2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)

3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka

4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)

Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru sana Mungu.

Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema

Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa

Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Siku zote wakati waMungu ni wakati sahihi. na usidhani kila aliyeko humu JF ya kwamba kafanikiwa.Wengine wana magumu zaidi yako lakini hawajakata tamaa. Piga Moyo KOnde kila kitu huwa kina muda wake.
 
Unavo sema haupo kwenye commited relationship huwa una maana gani???..... yakubali mahusiano yako na ujue ulikosea wapi??? wanawake baadhi wanapenda maisha ghali ya kukua haraka haraka.
Unaweza ukawa uko serious Ila mwenzako humuoni kwenye huo u serious so unauacha muda iongee kwenye hayo mahusiano
 
Niko hapa na 29yrs Sina mtoto, sina mume na siko kwenye committed relationship, Sina kipato Cha kueleweka ingawa nilikuwa nimeanza kusimama yakatokea yakutokea nipo naanza moja bado sitetemeki Ila tu napambana ili nipate kuinuka Tena, kikubwa usijikatie tamaa, jifunze kwa waliofanikiwa Ila kamwe usijilinganishe na wengine Cha muhimu wewe zishinde mechi zako
nitafute inbox 2yajenge,nipo singo,,
 
Back
Top Bottom