min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Shukran mkuu🙏Very very powerful 💪 asante Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran mkuu🙏Very very powerful 💪 asante Sana
Wewe ni nani hadi kumwambia mtu hafai?29 bila mtoto duh tatizo ilo wewe hufai sasa kubwa zima ivyo hujui ata changamoto za kua na familia wewe hufai.
Hakika27yo bado binti mbichi kabisa. Huna cha kuhofia. 27-35 umri mzuri wa kuolewa.
Usiogope 👏USIOGOPE.
Neno "USIOGOPE" limetajwa mara 365 ndani ya Biblia. Mathalani katika nukuu kutoka waraka wa Tito 2:13 inaeleza Yesu Mungu Mkuu anakwambia usiogope, maana yupo pamoja nawe.
Mwaka mmoja una siku zipatazo 365 idadi sawa na ile ya neno hilo ndani ya maandiko haya matakatifu. Kwa hiyo kama ndivyo hivyo, basi siku zote JIPE MOYO kwani yote utayashinda. Kumbuka usijinenee neno lolote baya kwani Ibilisi atalichukua na kuli "brand" katika maisha yako, na wewe utakuwa hivyo.
MhuuuuNjoo private box , niwe nakutafuna mapaka utapata mtoto yani
JF kuna watu wa kila namna. Nina imani wapo wanaoweza kukupa mchongo wa ajira.Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
Kumbe ndio maana😀😀😀 halafu umefungua uzi kulalamika unajizeekea....Naomba mnielekeze jinsi ya kulock pm yaan mtu asiweze kuniandikia ujumbe pm
Wee bado mteke sana, lkn bado unalo tumaini.Mwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru mungu kwasababu sikuile tulizaliwa wengi na leo hawapo.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema kwasababu kuna ambao wapo hukooo wapigania uhai waooo hata waweze kuamka kitandani
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
Aisee..😅Tetemeka ukimaliza njoo tuliendelee kupambana..hakuna kukimbiana hadi maji tuite mma..
Njoo pmNiko hapa na 29yrs Sina mtoto, sina mume na siko kwenye committed relationship, Sina kipato Cha kueleweka ingawa nilikuwa nimeanza kusimama yakatokea yakutokea nipo naanza moja bado sitetemeki Ila tu napambana ili nipate kuinuka Tena, kikubwa usijikatie tamaa, jifunze kwa waliofanikiwa Ila kamwe usijilinganishe na wengine Cha muhimu wewe zishinde mechi zako
NShukran mkuu🙏
Pamoja sanaShukran mkuu🙏
AiseeePunguza matumiz ya p2 angalau ata mtoto wa kukuzk usikose
Tatzo ukipata ajir utaon umepat ajir