Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naku pm hiyo jinsi ya kulockNaomba mnielekeze jinsi ya kulock pm yaan mtu asiweze kuniandikia ujumbe pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naku pm hiyo jinsi ya kulockNaomba mnielekeze jinsi ya kulock pm yaan mtu asiweze kuniandikia ujumbe pm
Jamani nimejisikia vibayaUnamshukuru Mungu kwa matatizo ya wengine ambayo wewe huna?
Huo ni ubinafsi, roho mbaya na yawezekana wewe ni sadist mkubwa.
NB: Tuendelee kukataa dini, hasa za kikoloni na mambo yake yote.
Ayayayaaa amepiga hatua kubwa sana. Anastahili pongezi za dhati. Si unaongelea kuandika?Toka 2008 uko humu bado hujajua kuandika tuu mkuu.
Ajawahi Weka somo la.mwandiko anataka tujue kuandikaAyayayaaa amepiga hatua kubwa sana. Anastahili pongezi za dhati. Si unaongelea kuandika?
Walewale wa kina nani?Me ni wale walee
Ujinga ni mtaji.Jamani nimejisikia vibaya
Duh.!Bado hujasema.
Nyinyi ndiyo wale wapumbavu mnao poteza muda mwingi kutajirisha wahuni makanisani wanao jihita mitume na manabii mnadhani Mungu wa hizo dini zenu ni mpuuzi alipo sema siku 6 fanya kazi ya 7 ndiyo ya bwana munguMwezi ujao natimiza umri wa miaka 27
1 - Sina kazi
2 - Sina chochote ninachomiliki (kiwanja/nyumba n.K)
3 - Sina mahusiano ambayo yanaeleweka
4 - Sina mtoto (sitamani kuwa single mama)
Hii miaka 26 niliyoishi duniani namshukuru mungu kwasababu sikuile tulizaliwa wengi na leo hawapo.
Ninamshukuru mungu kwasababu nina afya njema kwasababu kuna ambao wapo hukooo wapigania uhai waooo hata waweze kuamka kitandani
Ahsante yesu kwa zawadi hii ya uhai hata nipo huku jf naandika hayaaaaa
Miaka yangu 27 inanitetemeshaaaaaa
ShukranZingatia hii hapa
1. Kila siku unayoiona unakuwa mchanga kwa umri wako uliobaki,
2. Utajiri haujalishi umeajiriwa au umejiajiri, inajalisha akili yako na ulivyojiposition
3. Acha kufanya jambo kwa comparison fanya jambo kwa deprivation , yaan naposema comparison Usifanye jambo au ukataka jambo kwa kujilinganisha na mtu au kuangalia umri wako, bali angalia Jana Hukuwa na nini na leo unacho nini hata kama hakijakamilika kiko katika hatua ipi, hata Kama ni kuomba kazi, idadi ya CV ulizosambaza Jana ziwe ndogo kulinganisha na ulizo sambaza leo
4. Usidharau fursa hata Kama ni ndogo, kuna watu wengi wanajitolea maofisin, mkikutana nao na matai mnawakadiria mshahara kwa shati walilovaa na kupigwa Pasi kumbe nao madhaifu yao hawayaweki wazi,
5. Usifuatilie mitandao sana ya instagram, maana utaishia kuona waliopiga picha na Mali za wengine ukadhan ni ZAO , Kumbuka hakuna anayeonesha madhaifu yake hadharani, BALI uonesha mazuri tu hata Kama ya kufeki,
6. Ukiishi kivyako BILA watu wasio wa Muhimu kujua shida zako au mishe zako utaenjoy sana hata kaka huna Mia
7. UMRI SI KIGEZO , MI NIMEAJIRIWA NIKIWA NA 25 Yrs Ila Pesa ya miaka 4 ya kwanza haikufanya la maana Ila nilipotimiza 30 na kuendelea ndo ikawa Kama nimeanza Kazi,
Ukipata muda pitia vitabu kuona matajiri wanavyosota na utajiri Wengine wameupata wakiwa 40+
Britanicca
Et sina mchezo Wala kikoba 😄😄Hee! Mi dada ako nna 31
Sifa zangu ni - jobless - sijazaa -sijasoma - similiki mume - sina mchezo/kikoba/kiwanja/nyumba - sina mahusiano serious na sitegemei
Tena umri unavyozidi kwenda ndo nazidi kupandisha vigezo vingi vya mume nnaemtaka!
Ila siko desperate hata!!! Nahofia kufa sijalifanya kusudi la maisha yangu! Kama unavyojua kila mwanadamu ana kusudi lake duniani moja ama mengi ila mimi nikifa sijawa MSHAURI NASAHA/MZEE WA BARAZA ntajuta kuliko kuwa nayo yote hayo ya duniani