Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wa "kifo"kama waujua ndipo unapotakiwa ujistaafishe kazi uingie huko ambapo hutadai ugali Wala dagaa !!!Wakuu tujadili umri sahihi kwa mtu kustaafu ni upi? Awe ni mtu binafsi anayefanya shughuli zake mwenyewe au za kuajiriw na kama ni lazima uwe na hela za kutosha kwanza ndio uamue kustaafu.
Ushakula Chenji nyingi za kutosha, Unakausha.kuupiga mwingi kivipi mkuu?
Kustaafu ndio kuacha kazi?Baba angu alistaafu 49
Alikuwa mwanajeshi kabla ya mwaka 2000?Baba angu alistaafu 49
Ndio aliingia jeshini 1977 kitu kama ichoAlikuwa mwanajeshi kabla ya mwaka 2000?