Umri Upi ni Sahihi kwa Mtu Kustaafu kazi?

Umri Upi ni Sahihi kwa Mtu Kustaafu kazi?

Umri wa "kifo"kama waujua ndipo unapotakiwa ujistaafishe kazi uingie huko ambapo hutadai ugali Wala dagaa !!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nakazia hoja. Mtu awaye yeyote, alimradi uko hai utafanya kazi tuu, taka usitake hadi siku na saa Roho yako inatoka. Hakuna cha kustaafu kazi maishani ila kuna kubadili shughuli na uzito wa kazi za kufanya. Asikudanganye mtu eti amestaafu kazi. Hamnaga hiyo kitu. Hata kuongea ni kazi..........au hujawaona watoa povu hutokwa jasho pia? 😂 😂
 
1. Ni hoja nzuri mno muda wa kustaafu uko kisheria kuna 60/65/70 kutegemeana na aina ya kazi nk
2..Kwangu kwa utumishi mud muafaka ni miaka 65 na kumpa mtu sasa kuwa na muda wa kutosha kuwa na familia na kusimamia taratibu miradi yake kadhaa na kupata muda na wajukuu na wanae ambao kwa muda mrefu wa utumishi aliukosa…..
 
Back
Top Bottom