Kivipi? Fafanua,Huna hoja wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi? Fafanua,Huna hoja wewe
Tatizo napomaliza chuo akili mnazielekeza kwenye kuajiriwa wakati mnaambiwa kazi hakuna. Hata hivyo tunaweza kupunguza madarasa tubaki la kwanza Hadi la Sita, form one mpaka form three form five Na six wakajifunza mafunzo ya Veta Tu ndipo huingia chuo kikuue nako mtu amalize degree moja sio kuwa Na madegree mengi kama let mutuz Alafu ayafanyi kituLabda uongezwe na muda wa kustaafu
Nenda English medium kuna watoto eleven years anamaliza la saba
We Chelewa na mwanao utamchelewesha kila kitu hata scholarship na ukijeba wake hapati
Mimi mwenyewe nilianzishwa nikiwa na miaka 10, nilikuwa nawafundisha wale wadogoWana JF
Makuzi ya binadamu wa mtanzania yanapitia magumu mengi, hivyo pia akili uchelewa kukomaa kupota uelewa wa kujifunza kitu Kwa umakini. Natoa sababu Kwa nini umri miaka 10 ndio unafaa mtoto kuanza la Saba.
1. Umri ukiwa miaka kumi mtoto anakuwa amekomaa, huondoa woga na anaweza kuhoji kama kitu sio sahihi.
2. Waliokosa lishe bora huwa ndio wakati ambao makuzi ya akili yanakuwa sawa.
3. Mtoto hadanganyiki kirahisi na akifanyiwa vitu vya unyanyasaji wa kijinsia ana uweza wa kumweleza mama yake au baba yake.
4. Ni umri ambao vipaji uchipuka mtoto kujua anapenda nini Na ana kipaji gani.
5. Kutokukubali kuonewa na mtu yeyote Kwa kuwa sio mwoga.
6. Urahisi wa kuweza masomo walimu hawapati shida.
7 . Kama shule ipo mbali huyu ndiye mwenye uwezi wa kutembea umbali mrefu.
8. Akimaliza darasa la saba anaweza kusaidia shughuli za kilimo au kuanza kujitegemea
9. Hauhitaji kumlea kama mtoto ikiwa hakufaulu kuendelea na masomo.
10. Kutokana na umri anakuwa amepunguza michezo mingi hatarishi kwa kuwa tayari ana uelewa
Kumbukumbu zinaonyesha wengi waliofanikiwa wengi walianza shule wakiwa na miaka 12.
Mkuu tatizo sio umri, tatizo ni malezi tunayowaalea watoto wetu.Wana JF
Makuzi ya binadamu wa mtanzania yanapitia magumu mengi, hivyo pia akili uchelewa kukomaa kupota uelewa wa kujifunza kitu Kwa umakini. Natoa sababu Kwa nini umri miaka 10 ndio unafaa mtoto kuanza la Saba.
1. Umri ukiwa miaka kumi mtoto anakuwa amekomaa, huondoa woga na anaweza kuhoji kama kitu sio sahihi.
2. Waliokosa lishe bora huwa ndio wakati ambao makuzi ya akili yanakuwa sawa.
3. Mtoto hadanganyiki kirahisi na akifanyiwa vitu vya unyanyasaji wa kijinsia ana uweza wa kumweleza mama yake au baba yake.
4. Ni umri ambao vipaji uchipuka mtoto kujua anapenda nini Na ana kipaji gani.
5. Kutokukubali kuonewa na mtu yeyote Kwa kuwa sio mwoga.
6. Urahisi wa kuweza masomo walimu hawapati shida.
7 . Kama shule ipo mbali huyu ndiye mwenye uwezi wa kutembea umbali mrefu.
8. Akimaliza darasa la saba anaweza kusaidia shughuli za kilimo au kuanza kujitegemea
9. Hauhitaji kumlea kama mtoto ikiwa hakufaulu kuendelea na masomo.
10. Kutokana na umri anakuwa amepunguza michezo mingi hatarishi kwa kuwa tayari ana uelewa
Kumbukumbu zinaonyesha wengi waliofanikiwa wengi walianza shule wakiwa na miaka 12.
Heshima yako bosi Andunje.Mimi ni mmojawapo wa walioanza la kwanza na miaka 10.
Sio kwamba sikuwa na akili, bali tatizo ni ufupi na mkono ulikuwa mfupi nikiambiwa shika sikio la upande wa pili siwezi.
Toka nina miaka 7 naenda kuanza la kwanza lakini narudishwa.
Wote walionifanyia unyama huu nimewasamehe, nyambafu zenu.
Unforgetable
Kwa hiyo umri sahihi zaidi ni upi?Kuna research ilifanyika baada ya ongezeko la watoto wenye Attention deficit hyperactivity disorderADHD Marekani kuwa kubwa kulinganisha na nchi za Ulaya.
Waligundua kuwa watoto wa nchi za Scandinavian hupata muda mwingi wa michezo katika elimu ya awali. Elimu hasa huanza mtoto anapofikisha miaka 5.
Miaka 10 ni kumchelewesha mtoto, huu ni muda mtoto anajiandaa na mitihani ya kumaliza shule ya upili, anajua kuandika insha, hesabu za kujumlisha, kutoa, kugawanya kuzidisha na percentage hata algebra.
My point is kumuwahisha sana mtoto shule kuna hasara hali kadhalika kumchelewesha.
Juzi nilikua naangalia makala flani ya Nigeria nikaona mdada anasema 16 yrs mtu yupo university.. hii imekaaje mfumo wao wa elimu ukoje?ndio ni mzee Ulaya hata Nigeria hapo huo umri mtu anakuwa na Phd tayari sio kidigrii cha kwanza
Mkuu umemliza la 7 na miaka 17........ila form one itakuwa hukupiga simu chooni maana hata form 2 walikuwa wanakuamkiaMimi ni mmojawapo wa walioanza la kwanza na miaka 10.
Sio kwamba sikuwa na akili, bali tatizo ni ufupi na mkono ulikuwa mfupi nikiambiwa shika sikio la upande wa pili siwezi.
Toka nina miaka 7 naenda kuanza la kwanza lakini narudishwa.
Wote walionifanyia unyama huu nimewasamehe, nyambafu zenu.
Unforgetable
Hata moto wa bro....mwaka huu kaanza form one na miaka 11, madarasa matatu primary hajasomaMwanangu kwa uwezo Mungu aliompa yuko darasa la 7 akiwa na miaka 10..kuna madarasa matatu huku chini hakusoma..kuna wakat namhurumia sana lkn darasan yuko vizur na tayar seminary moja wameshasema watamchukua akaanze form one..kichwan yuko gado sana japo anapozewa ugali na uji mpaka leo..