LGE2024 Umtakaye kaenguliwa piga Kura ya HAPANA

LGE2024 Umtakaye kaenguliwa piga Kura ya HAPANA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
CCM wamedhania kuengua wagombea na sasa kujitapa kuwa Wapinzani hawajaweka wagombea wa kutosha kama CCM ndio ujanja.

Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.

Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.

Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU
 
CCM wamedhania kuengua wagombea na sasa kujitapa kuwa Wapinzani hawajaweka wagombea wa kutosha kama CCM ndio ujanja.

Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.

Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.

Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU
Haa nilisahau kumbe kuna kura ya hapana?
 
Akipata kura za ndiyo mia moja na hapana 150, hivyo zilizoharibika ni nyingi kuliko zilizomchagua.
Kumbe kura za hapana zinakuwa zimeharibika?, kweli CCM wametufanya mazezeta,

Kwanini Tanzania chama dola ndiyo waendeshe uchaguzi, kama ndiyo hivyo basi huu siyo uchaguzi bali ni uchafuzi
 
Kwa woga huu hakika CCM imekaribia kufaa...na Trump anaingia madarakani mwakani ni kudocument haya yote yatumwe kwake bibi kidawa akajieleze kabla hajapewa hela za misaada na mikopo
 
60+ years we have been fooled and our foolishness is beyond our capacity!!!
Tuliandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia, kwenye ngazi ya familia kuna vutu ukivihoji utaambiwa kama umekua uondoke, tabia hii imebebwa kwenye ngazi zote za misha, huko kanisani, vyuoni, mashuleni, kazini na bungeni

Na ndiyo maana waliohoji kuhusu tozo waliambiwa waende burundi, tusome pia kuhusu, ostracism mtanishukuru

Washika tonge wamebuni unyumbu wa kisiasa kulinda matonge yao, unyumbu wa kisiasa ni tabia yawanaopewa dhamana.kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumika kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), a.k.a kujizima data, tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo, (uchawa)

Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and hypocrite
 
CCM wamedhania kuengua wagombea na sasa kujitapa kuwa Wapinzani hawajaweka wagombea wa kutosha kama CCM ndio ujanja.

Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.

Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.

Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU
Kura za HAPANA zinaweza kushinda kama anawekwa mgombea asiye na sifa zinazohitajika na wapiga kura.
 
Kura za HAPANA zinaweza kushinda kama anawekwa mgombea asiye na sifa zinazohitajika na wapiga kura.
Tatizo linakuja kwa kuwepo mfumo wa kuahirisha kufikiri, a.k.a, kujizima data. Mungu aipe maono jamii yetu kuweza kujua hujuma zilizoko kwenye chaguzi zetu
 
Back
Top Bottom