Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
CCM wamedhania kuengua wagombea na sasa kujitapa kuwa Wapinzani hawajaweka wagombea wa kutosha kama CCM ndio ujanja.
Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.
Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.
Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU
Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.
Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.
Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU