Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asikupotoshe HAPANA ni hapana na kuharibika ni kuharibika sio optionKumbe kura za hapana zinakuwa zimeharibika?, kweli CCM wametufanya mazezeta,
Kwanini Tanzania chama dola ndiyo waendeshe uchaguzi, kama ndiyo hivyo basi huu siyo uchaguzi bali ni uchafuzi
Hatusemi wagombea wote wa CCM ni wabovu, hapana wapo wagombea wazuri na hao tutawapa kura bila kujali chama chao. Lakini kama kaenguliwa mgombea makini wa mtaani kwetu ili wasimamishe bumunda ambalo mtaani twajua ni bumunda hakuna kucheka na hawa mumiani ni kutwanga HAPANA tuu na kuisimamia kwa dhati.Kura za HAPANA zinaweza kushinda kama anawekwa mgombea asiye na sifa zinazohitajika na wapiga kura.
Uchaguzi wa serikali ya mtaa unazihusu hasahasa familia zetu na tunajuana vyema.Tatizo linakuja kwa kuwepo mfumo wa kuahirisha kufikiri, a.k.a, kujizima data. Mungu aipe maono jamii yetu kuweza kujua hujuma zilizoko kwenye chaguzi zetu
Ingekuwa haisaidii kusingekuwa na kipengele cha kupiga kura ya hapana inapotokea kukawa na mgombea mmoja kwenye nafasi husika. Kura za hapana zikizidi za ndiyo, ina maana kwamba huyo mgombea hakubaliki kwa wananchi wa eneo husika. Kwa hiyo kama hakubaliki, inabidi mchakato wa uchaguzi uanze upya🤣 🤣 🤣
Sasa hapana itasaidia nini
Kwa nini tuziite kura za hapana kuwa zimeharibika? Mimi nadhani si neno sahihi. Kura za hapana ni za kumkataa mgombea, kuwa hafai kutuongoza.Akipata kura za ndiyo mia moja na hapana 150, hivyo zilizoharibika ni nyingi kuliko zilizomchagua.
Nakuunga mkono tatizo linakuja endapo CCM wataenda maporiniKwa nini tuziite kura za hapana kuwa zimeharibika? Mimi nadhani si neno sahihi. Kura za hapana ni za kumkataa mgombea, kuwa hafai kutuongoza.
Ikiwa hivyo basi, wapiga kura tuje na kauli mbiu ya "Ulipo, tupo". Ni kwenda nao sambamba tu. Siku hizi tunasema "bampa to bampa".Nakuunga mkono tatizo linakuna endapo CCM wataenda maporini
Zamani tulisema 'ima faima' liwalo na liweIkiwa hivyo basi, wapiga kura tuje na kauli mbiu ya "Ulipo, tupo". Ni kwenda nao sambamba tu. Siku hizi tunasema "bampa to bampa".
Nani wakala wa kura za hapana?CCM wamedhania kuengua wagombea na sasa kujitapa kuwa Wapinzani hawajaweka wagombea wa kutosha kama CCM ndio ujanja.
Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.
Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.
Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU
Na hapana zikiwa nyingi nani anakuwa mshindi pale?🤣 🤣 🤣
Sasa hapana itasaidia nini
Kulingana na matakwa ya watawala kura ya hapana wao inawasaidia kwani hakuna kukataliwa.Kwa nini tuziite kura za hapana kuwa zimeharibika? Mimi nadhani si neno sahihi. Kura za hapana ni za kumkataa mgombea, kuwa hafai kutuongoza.
Kulingana na tume ya CCM ya uchaguziKulingana na matakwa ya watawala kura ya hapana wao inawasaidia kwani hakuna kukataliwa.