Haa nilisahau kumbe kuna kura ya hapana?CCM wamedhania kuengua wagombea na sasa kujitapa kuwa Wapinzani hawajaweka wagombea wa kutosha kama CCM ndio ujanja.
Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.
Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.
Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sasa hapana itasaidia nini
Unaandaka HAPANA msimamizi ni mwalimu Masumbuko Shida Matatizo anasoma NDIYO na mshindi anatoka na [emoji817]%...Haa nilisahau kumbe kuna kura ya hapana?
Wanaendaga maporini kuchimbaga dawa, haya mambo niya mpitoUnaandaka HAPANA msimamizi ni mwalimu Masumbuko Shida Matatizo anasoma NDIYO na mshindi anatoka na [emoji817]%...
Hii nchi ni ya ovyooo kabisaaaaa
Hapo sasa, wakati wakala atakayebaki kituoni ni wa CCM. Maana chama hakiwezi kuwa na wakala wa kusimamia zoezi kama hakina mgombea.🤣 🤣 🤣
Sasa hapana itasaidia nini
Akipata kura za ndiyo mia moja na hapana 150, hivyo zilizoharibika ni nyingi kuliko zilizomchagua.🤣 🤣 🤣
Sasa hapana itasaidia nini
CCM hoyee!,Hapo sasa, wakati wakala atakayebaki kituoni ni wa CCM. Maana chama hakiwezi kuwa na wakala wa kusimamia zoezi kama hakina mgombea.
Ni kupoteza muda tu.
Kumbe kura za hapana zinakuwa zimeharibika?, kweli CCM wametufanya mazezeta,Akipata kura za ndiyo mia moja na hapana 150, hivyo zilizoharibika ni nyingi kuliko zilizomchagua.
Ndiyo, ila nazo huhesabiwa.Kumbe kura za hapana zinakuwa zimeharibika?, kweli CCM wametufanya mazezeta
Kuharibika inamaana aliye piga kura, (jaza), kakosea kujaza, mimi ndivyo ninavyo fahamuNdiyo, ila nazo huhesabiwa.
60+ years we have been fooled and our foolishness is beyond our capacity!!!Wanaendaga maporini kuchimbaga dawa, haya mambo niya mpito
You can not fool all people, all the time
Zilizoharibika nazo huhesabiwa, kuna mafungu matatu, 1 za tiki, 2 za mkato na tatu zilizoharibika, zote huhesabiwa, ila kumbuka usemi "akuchukiaye hakosi neno".Kuharibika inamaana aliye piga kura, (jaza), kakosea kujaza, mimi ndivyo ninavyo fahamu
Tuliandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia, kwenye ngazi ya familia kuna vutu ukivihoji utaambiwa kama umekua uondoke, tabia hii imebebwa kwenye ngazi zote za misha, huko kanisani, vyuoni, mashuleni, kazini na bungeni60+ years we have been fooled and our foolishness is beyond our capacity!!!
Tuendelee kuielimisha jamii yetu hadi hapo mafuvu yao yatakapo rudushiwa akiliZilizoharibika nazo huhesabiwa, kuna mafungu matatu, 1 za tiki, 2 za mkato na tatu zilizoharibika, zote huhesabiwa, ila kumbuka usemi "akuchukiaye hakosi neno".
Kura za HAPANA zinaweza kushinda kama anawekwa mgombea asiye na sifa zinazohitajika na wapiga kura.CCM wamedhania kuengua wagombea na sasa kujitapa kuwa Wapinzani hawajaweka wagombea wa kutosha kama CCM ndio ujanja.
Kutokupiga kura ni kuihalalishia ushindi CCM hivyo njia sahihi ni wapinzani na wale wote wanaojitambua kupiga kura ya kuwakataa ya HAPANA kwa wingi sana hadi wajue pamoja na figisu zao hawakubaliki.
Ndugu Mtanzania, Fisi haachiwi bucha hivyo ni bora nyama kuimwagia sumu ili akiila afe.
Slogan iwe HAPANA ni HAPANA TUU
Tatizo linakuja kwa kuwepo mfumo wa kuahirisha kufikiri, a.k.a, kujizima data. Mungu aipe maono jamii yetu kuweza kujua hujuma zilizoko kwenye chaguzi zetuKura za HAPANA zinaweza kushinda kama anawekwa mgombea asiye na sifa zinazohitajika na wapiga kura.