Umughaka jamaa mmoja hapa JF nimependa sana

Umughaka jamaa mmoja hapa JF nimependa sana

Sema naona kama Monica alimloga sababu alimuacha...

Hebu aongee vizuri na Monica mambo yake yatakaa poa sana..
 
Sema naona kama Monica alimloga sababu alimuacha...

Hebu aongee vizuri na Monica mambo yake yatakaa poa sana..
Kale kachawi...kale Nako kalikuwa kicheche. Kalikuwa kadem ka yule mwanafunzi
 
Huyu bwana namfuatilia Sana he is awesome. Sio mkorofi historia ya maisha yake mpaka response to critic anapata humu.

Huyu MTU UMUGHAKA angesima angekuwa daktar mzuri sana.

Kuna muda baadhi ya watu tukubali kuwapa heshima zao tu
Huyo jamaa ni MTU NA NUSU
 
Halafu kinachonishangaza kwa huyu mura kaka jambazi anasema aliachana na kikundi cha akina Gab lakini hirizi aliyofungwa kule Simiyu bado ingaliko kiunoni make mpaka leo. UMUGHAKA. Hii imekaaje bwana Mshana Jr
 
Back
Top Bottom