Vifaranga200
Senior Member
- Oct 28, 2022
- 163
- 177
Kale kachawi...kale Nako kalikuwa kicheche. Kalikuwa kadem ka yule mwanafunziSema naona kama Monica alimloga sababu alimuacha...
Hebu aongee vizuri na Monica mambo yake yatakaa poa sana..
Unaweza ukadhani ni laanaSema naona kama Monica alimloga sababu alimuacha...
Hebu aongee vizuri na Monica mambo yake yatakaa poa sana..
Nakubaliana na weweUmughaka, anautulivu wa roho na nafsi, na hivyo kuwa na uwezo mkubwa kudhibiti mihemko!
Huyo jamaa ni MTU NA NUSUHuyu bwana namfuatilia Sana he is awesome. Sio mkorofi historia ya maisha yake mpaka response to critic anapata humu.
Huyu MTU UMUGHAKA angesima angekuwa daktar mzuri sana.
Kuna muda baadhi ya watu tukubali kuwapa heshima zao tu
Umughaka, anautulivu wa roho na nafsi, na hivyo kuwa na uwezo mkubwa kudhibiti mihemko!
Mrembo wa kisukumašSema naona kama Monica alimloga sababu alimuacha...
Hebu aongee vizuri na Monica mambo yake yatakaa poa sana..
Itakuwa mwenyeweMleta mada ni Member,
Joined 28/10/2022
Sio Wakuu ni MTU mwingine KabisaItakuwa mwenyewe