Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiondoka tu, nami naazisha sredi langu......... nikutonye taito yake?Haya mambo haya babu ndio maana wanasema usifanye kkwa kuiga
waweza kufa....lol... bahati mbaya tu leo kazi zimenibana sitakuepo
mpaka baadae saana, yaani hapa ingekua kubanana...lol
Matahaba kijana....... Bibi hajambo. Ukweli ni kuwa bibi akiingia huku, mimi ntalazimika kutoka. Naipenda ndoa yangu..... LOLESTBabu...shikamoo! Bibi hajambo..
Hiviiii...atiii...abuuu...bibi yuko huku!??
Yes hio rahisi na inakumbusha mbali... Kuna hiii ya Pan cake...
Unachukua sukari ya 6/8 table spoons unaweka chombo cha kukandia
then unachukua one table spoon ya baking powder, half tea spoon ya yeast,
unachanganya vizuri, then unatia magarine (blue band nzuri coz in chumvi dizain)
unachanganaya saana then unagongea eggs (bora ya kienyeji..),
unachanganya saana, then unatia unga kama robo kilo unatumia mwiko
kusonga kama ugali... mpaka ishikane, unatia maziwa kidogo kurainisha
hatimae mpaka ishikane vizuri then una switch kwenye maji lukewarm
mpaka itapokua na uzito wa unaokua kama chapati za maji... hizi hua laini
na hazikifu mdomoni...
Orayt....... tumbulia mimacho kwa PM yako...... zangu sizitumi kwa pick up bana!Babu please do (niambie taito)... lol... nikitoka huko nijiandae mchango,,
lol...unanitamanisha kweli Asha na huo msosi mwenzangu,
tatizo unakuta haya maandalizi na mapishi anakufanyia house girl,
mother house kajikalisha tu pembeni, au yupo busy na majukumu mengine.......lol.....
Matahaba kijana....... Bibi hajambo. Ukweli ni kuwa bibi akiingia huku, mimi ntalazimika kutoka. Naipenda ndoa yangu..... LOLEST
Thanks Love for this useful thread,
Kina Asprin, MTM et al walikuwa wanashangaa mbona afya yangu iko mswano hivi, wasijue kuwa nina mke aliye pia mwanamke in every aspect
Thanks darling
Aaahh shemeji...gud to know!Thanks Love for this useful thread,
Kina Asprin, MTM et al walikuwa wanashangaa mbona afya yangu iko mswano hivi, wasijue kuwa nina mke aliye pia mwanamke in every aspect
Thanks darling
Home ile rule yetu ina apply hapa? Au ndo Ubwanyenye na ukabaila?
Aaahh shemeji...gud to know!
Nangojea uthibitisho wa babu.
Ukabaila.......ubwanyenye.......... kaizer usije kucheza na mimi una mikono michafuhapa never on earth hommie, tulishafanyai amandment kwenye schedul 1 na 2.....angalia arrangement of sections hapo.....
Not Authorised...Not Approved!Aaahh shemeji...gud to know!
Nangojea uthibitisho wa babu.
Inauma sana aisee!ahha Mkuu Mentor, Needless to say, nimesoma Asprin anajaribu kuuliza eti who is the luckiest guy wakati hii marathon ilishafungwa siku nyingi LOL
here I am, the one and only....you need my darling AshaDii to tell you this? noo...hahaha
Thanks Love for this useful thread,
Kina Asprin, MTM et al walikuwa wanashangaa mbona afya yangu iko mswano hivi, wasijue kuwa nina mke aliye pia mwanamke in every aspect
Thanks darling
Home ile rule yetu ina apply hapa? Au ndo Ubwanyenye na ukabaila?
Ukabaila.......ubwanyenye.......... kaizer usije kucheza na mimi una mikono michafu
Not Authorised...Not Approved!
Inauma sana aisee!
Aaahh shemeji...gud to know!
Nangojea uthibitisho wa babu.