hahahahaaaa wembamba wa reli, mie napenda sana mabiriani, marosti na mavitu kama hayo
kwa kweli inabidi kupunguza hii, nikila sanasana labda mchemsho hivi.....kuna mchemsho mmoja hivi
ngoja nikwambie ujaribu...chukua kuku wa kienyeji,pilipili mtama zilizosagwa, pilipili mbuzi kama nne na unazikata, hivi kama wala
pilipili ikiwa kuku mmoja vitunguu kama saba hivi unakata makubwamakubwa nandimu za kutosha
ngogwe na vibamia kama kimoja au viwili, vikichemka ukaona kuku kaanza kuiva kiasi, weka viazi mviringo
na hoho kama nne,carrot kama tatu pia na hivi vinachemkaaaaaaaa ukiona vimeiva unasonga kiasi kama ugali hv chumvi usisahau
linatokea bonge la chakula aisee jaribu na hii kisha nipe feedback