Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Don't try to fool people hata neno Either la english na la kiswahili ni aidha so ukisema utamkaji ni tofauti nani atakuelewa zaidi ya kudanganya watu... mbona hata Waitaliano wanatamka au kuliita jina la kiingereza Peter,kiswahili ni Pita Wahispania na wareno hutamka Pedro na Wafaransa hutamka Piere kama ni lugha huwezi elewa kitu hapo so sometimes you can fool people but not all the time..

Nimesema weka Maneno moja bada ya lingine yakifike mia at least tuone ni percent ngapi Kiswahili kimebebwa na Kiarabu na sio kusema mimi nitafute Mtaalamu wa Kiswahili kwanza huyo mtaalam alikuwepo wakati kiswahili kinazaliwa? uulize mtu aliyehadithiwa akili zako zimeshikwa?

Siku hizi kila kitu kipo wazi na kuhusu maswala ya lugha andika tu kwa maneno watu tunasoma na hoja yako inapita... wadhania Mwarabu akiongea utaelewa kitu wewe?

Hiyo Mifano yako naipata fuleshi kabisa maana hata Lugha zingine kitu kimoja lakini kinautofautishaji wa kutamka ndio maana Kisukuma na Kinyamwezi ni lugha mbili tofauti japo wanaelewana lakini kiswahili na Kiarabu no kuelewana ni sawa na mtu ajuae english ya kuombea maji Give me some water!

Kwa hoja upo level Ndogo mkuu jipange vizuri.

Uongeaji na utamkwaji unapotofautiana ndio lugha inapokuwa tofauti maana lugha ni mawasiliano sasa kama hamuwezi kuwasiliana basi mpo lugha tofauti... Jimama FaizaFoxy linalojidai limelipa zoezi limesepa mbio... na halijawahi nishinda kwa hoja na hatoweza..
 
imekupa mtihani na wewe unaomba usaidiwe... weka list maana maneno mengine pia yanapatikana kwenye lugha zingine na waarabu pia wamekopa like Wakti hata India ni same muda.. Ukija Duniya -ni same Dunia..

Weka list acha short cut... jibu hja ipaswavyo
 
Shida matumizi hayo ya lugha yanaweza kuambukiza ukatili wa hao watu!!!
 
kwa kifupi umesemaje hapo ebu nitafsrie kdg
 
Ni kweli mkuu, nilikuwa Cairo na niliweza kupata mahitaji yangu dukani kwa kuongea Kiswahili na wenyeji kuongea Kiarabu, maneno mengi yanaingiliana. Lakini si vibaya kuweka Kiarabu kama somo mashuleni kwa watakaopenda kama vile ilivyo Kifaransa.
n.a. Mie pia ivo ivo
 
jamani nitafsrie kdg sielew kitu
Hapo na enzi na kumtukuza kaka huyo kwa kumkaribisha !!
hivi:- Na'am (yes) kaka mwema maneno yako mazuri na hakika ni sahihi.. inshaAllah haoatakuwa na mushkel !!
Yote ni heri na ni lazima tuwasiliane kwa Lugha hii ya kiarabu yetu kwa ukamilifu na bila shaka/hofu !!
MashaAllah lahaja ya kiarabu chako ni muruwa sana na kimekithiri !!
Ahssante ya Mungu iwe juu yako....

ok mkuu joy umeipata?!!?
 
Nami napendekeza biashara ya utumwa irudi. Sheikh Tip Tippu rudi bana watwana wako watumwa wa kisaikolojia wanakuhitaji huku..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kumbe ina maana nikitaka kusema kaka nasema?twende taratibu nielewe vzr mie kilaza
 
kwani wew umekuja n.a. mtukufu mfalme au ni huku huku tz?
 
Ni kweli mkuu, nilikuwa Cairo na niliweza kupata mahitaji yangu dukani kwa kuongea Kiswahili na wenyeji kuongea Kiarabu, maneno mengi yanaingiliana. Lakini si vibaya kuweka Kiarabu kama somo mashuleni kwa watakaopenda kama vile ilivyo Kifaransa.
Uliongea maneno gani ayo na ukapata huduma kwa kiswahili Cairo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…