Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Ikija kwenye mambo ya uwekezaji bora tujifunze Ki China. Anyway tunatakiwa kuwa na curriculum inayowaruhusu watoto mashuleni kujifunza lugha mbali mbali.
Kifaransa, Kigermani, Kiitaliano Kiarabu , Kijapan etc.

Muhimu kabisa waweke mkazo kwenye English.
Tutake tusitake dunia ya leo ni ngumu Kama hujui English.

Sio lazima kuwe na darasa wanafunzi wanaweza kufanyanya hayo masomo "through correspondence ".
Oh, umeni'pre empty' mkuu. Kwa kweli lugha kubwa duniani ni Kichina na hawa hatuwatendei haki kabisa kwa yale mema waliyotutendea na bado wanatutendea mema tu. Sasa halua na tende kutua tu basi baadhi yetu tumevurugwa! Aibu.
 
Utumwa vichwani mwa watu weusi ni wa kiwango cha juu mno. Leo wameona mfalme wa Morocco kaja sasa wanataka wawe waarabu hata kujifunza lugha zao!!

Kwa uwekezaji gani wa Arabs in Tz hadi tujifunze kiarabu, wazungu, wanafaransa, wajeruamani, waisrael waliotujengea vyuo ikiwamo UDSM na MIST na airports wapo miaka yote mbona hamjawahi sema tujifunze lugha zao!! Vipi wachina tuliowapa kila kitu na tunaoenda kwao kila siku kununua bidhaa mbona hamkusema tujifunze lugha zao

Kiswahili ni lugha ya pili kwa ukubwa barani Africa kwanini usiseme tusukume zaidi lugha yetu itumike na kukubalika zaidi badala ya kuacha ife na kuiga lugha za watu!!

Naona kuna la ziada nyuma ya hii hoja yako, na wengi wanatetea kwa sababu zao binafsi na si kwa lengo la taifa kwa ujumla.

Aidha mtu yeyote anaweza jifunza lugha yeyote atakayo ila sio kwa kushinikizwa kama unavyotaka iwe. Smh
 
Unataka tung'oe meno, kama kiingereza imekuwa ni taabu hivi je Kiarabu si ndio watu watakuwa na mapengo ya ukubwani.
 
Kiswahili ni Kibantu at large percent na kilikwepo hata kabla ya kuja kwa Arabs.

Percent ya Waarabu katika lugha sio kubwa kuzidi percent ya Bantu languages katika kiswahili. Pili kilikwepo kabla ya Arabs kuja na hata wao wamesema katika documents zai kuwa Azania ilikuwa na Lugha moja kutoka katika branches za tribal languages.

Hatuwezi kusema kiswahili ni kiarabu kwa sababu ya uwepo wa maneno ya kiarabu. Kila lugha ina words kutoka lugha nyingine especially when a new item or object is new to another language au popularity yake.
Swadakta mkuu. Waarabu walipandikiza maneno yao pindi walipovamia huku kama walivofanya Wareno, Wajerumani, Wahindi na mpaka sasa Waingereza.
 
Kwa upande wa lugha, Tanzania tumechelewa sana sana. Baada ya kuchelewa tumelewa kasumba lugha inayohitajika ni Kiingereza tu. Kwa kweli tulihitaji lugha zaidi mashuleni. Na kwa best practices narejelea watu wa Yuropa. Wale watu wanajifunza lugha nyingi sana mashuleni. Na uelewa wao wa mambo ya kimataifa ni mkubwa zaidi.
Mkuu, sie tumerogwa. Wenzetu haswa Afrika Magharibi lugha zao za asili (lugha mama) wanajifunza mashuleni na wanachanganya na lugha za kimataifa ndo maana wanafanikiwa mno. Sie lugha zetu za asili ni dhambi sawa na kuua mtu ndo maana hata hicho Kiingereza tunababaisha tu maisha yanasonga mbele.
 
mnyonge mnyongeni........kiarabu ni moja kati ya lugha pana na yenye wazungumzaji wengi duniani,huwez kutaja lugha kubwa nne duniani ukakosa kiarabu,kiswahili kwa 75% kimejengwa na kiarabu,ukija kijamii na kibiashara,waarabu kibiashara wanashirikiana sana na nchi za kwetu,na pia ukaribu,hakuna watu waaminifu kibiashara kama waarabu,mfano mzuri nenda zenj,watu wa zenj kibiashara wana uaminifu mkubwa sana,kama tungekua tunatumia uhusiano huu vizur,kibiashara tungekua mbali,ila tumehusisha sana uarabu na udini ndio maana tumekua vipofu kwenye hili,na tume fail mambo mengi,mfano wa tanganyika tulio wengi kibiashara sio waaminifu hata kidogo,hata ukiangalia kiutendaji,wazenj wako makini ki fursa kuliko huku kwetu,mfano tuu,process za ki bandari zenj na huku,zenj ziko haraka na wazi kuliko bara,unaweza toka na mzigo bandar ya zenj vizur,figisu zinaanza ukifika bandar yetu huku,kuchangamkia fursa bado sana,wazungu wanasoma lugha za watu kama nini,sisi hapa dar pamoja na ukubwa wote huu kibiashara bado hatuna hata chuo kikubwa cha lugha za kigeni,tumebaki kuwa skeptic tuu,unahofia vitu visivyokuwa hata na mantiki,unaogopa kusoma kichina eti utlishwa chura,unaogopa kusoma kiarabu eti utakua muislam,unaogopa kusoma kiitaliano eti utakua mkatoliki matokeo unamkuta mjasiriamali mkubwa anajua kiswahili tuu na kimakonde,alafu nae anataka fursa zakibiashara nje na ndani ya nchi yake

Kuna contradictions Kibao kwenye ngonjera yako, una maana wazenji waaminifu sababu wanajua kiarabu? Kama waaminifu kwanini Zenji haiendelei badala yake bado ipo kama stone age? Kwanini hakuna wasomi wala educational institutions za maana? Lugha kama lugha ya kiarabu inawasaidia nini Zenji? Una habari kwamba Zenji ni hub ya madawa ya kulevya Africa, huo uaminifu wao upo wapi?

Ushirikiano wetu na waarabu hauwezi kupita ule wa Tz na China au Tz na nchi za Ulaya, kwanini tusingeanza kichina au English ambayo tunasoma toka vidudu hadi chuo kikuu na bado inatupiga chenga.

Acha kupotosha Kiswahili sio 75% kiarabu bali kimetohoa maneno kadhaa kama kilivyokopa toka lugha zingine na kama lugha zinginge zote zikopavyo.

Kiswahili ni lugha ya pili kwa ukubwa barani Africa kwanini tusisukume lugha yetu ili ikubalike na kutumika zaidi hadi hao waarabu wenu wajifunze lugha yetu badala ya sisi kuiga kwao kila kitu
 
Mimi ni archaeologist. Sielezei katika hali ya nationalism bali katika evidences.

Bantu walikuja kabla ya Arabs. Indigenous waliokutwa na Bantu ni Sans, Nilo-Saharans kama Masai na Khoi. Ambapo walikuwa scattered na eneo kubwa kulikwepo hakuna watu wengi.

Coast of Eastern Africa walikwepo Africans waliokuwa na trades na Central Africa na Zimbabwe, Mapungubwe. Zanzibar yenyewe ilikwepo na Africans wa Sans miaka ya 29,000 mpaka 6000 baada ya maji kuongezeka na kuzuia kutembea kwenda Zanzibar kwa miguu baada ya Interglacial period 7500 years ago. Evidence zipo pango la Kuumbi Kata ya Jambian Zanzibar.

Arabs walipoingia kuanzia Somalia kuja Azania walikuta kuna centralized states zilizokuwa kutokana na trades za Romans. Waroma walifika East Africa kufanya trades mpaka miaka ya 900AD. Kuna ushahidi na Ptolemy map ya roman imechora mto Rufiji kama ulivyo. Kilwa ilikuwa ya Africans na ilikuwa na African kings na coins zinaonyesha hivyo. Pamoja na Ibn Batuta alitembelea kilea na kusema alipokelewa na Wazaramo na Kings weusi waliokuwa wana power na waarabu wachache waliopita kutembea.

Arabs walichangia kuharibu states kwa kutaka kutawala trades na kulazimisha kueneza Islam na kukuza Slaver iliyopelekea kuharibu power na labour force ya Eastern Africa na kuchukua tittle kusema Arabs ndio wakuu waliojenga Eastern Coast. Archaeological facts hazisemi hivyo. Hivi sasa things have changed na wapo watafiti wengi kama Mark Hotton, Prof Felix, Mary Prendergast, Dr Akshay, M Melhman ambao wanafanya tafiti mpaka sasa na papers zao hazisemi hivyo.

Chittick aliyeanza kufanya tafiti miaka ya 1960 ndio alikuwa na mawazo ambayo aliona Arabs ndio waliojenga East African Coast na Lugha. Lakini alikuja kubadili huo mtazamo 1982.

Modern scholastic reports na books zimehama huo mtazamo wa 1952 - 1970.

Kuhusu kiswahili kuwa na asilimia ya kiarabu kufanya iwe kiarabu inaweza kuwa sawa. Na ikiwa sawa basi kiswahili ni Kireno, Kifaransa, Kingereza na kadhalikwa kwa sababu pia kuna maneno ya lugha nyingine na style ya uandishi wa lugha nyingine.
Good luck kubishana na huyo bibie.
 
Faiza beby......hawa unaowajibu vibaya wengine ni shemeji zako hauwajui tu......hebu kuwa na subra basi mpenzi......njoo geto huku tupeane ndimi ninyonye hizo lips hadi usahau kwenda masjidi kidogo..........nikupe mgegedo hadi majirani wajue jina langu kupitia wewe.....

Hasbuna Allahu wa neiema L'wakil.

Nyundo ya namba 124 imekuingia kisawasawa mpaka unahororoja na kubwabwaja bila mpango.

Ukiona mwanamme anajidai mbele ya halaiki ujuwe huyo hafai, pengine mtungi kupanda ni shida.
 

Wacha upashkuna,herufi pekee kilatini,sasa kiswahili kiweje kiarabu?
Wajua herufi za kiarabu weye?
 
Kuna contradictions Kibao kwenye ngonjera yako, una maana wazenji waaminifu sababu wanajua kiarabu? Kama waaminifu kwanini Zenji haiendelei badala yake bado ipo kama stone age? Kwanini hakuna wasomi wala educational institutions za maana? Lugha kama lugha ya kiarabu inawasaidia nini Zenji? Una habari kwamba Zenji ni hub ya madawa ya kulevya Africa, huo uaminifu wao upo wapi?

Ushirikiano wetu na waarabu hauwezi kupita ule wa Tz na China au Tz na nchi za Ulaya, kwanini tusingeanza kichina au English ambayo tunasoma toka vidudu hadi chuo kikuu na bado inatupiga chenga.

Acha kupotosha Kiswahili sio 75% kiarabu bali kimetohoa maneno kadhaa kama kilivyokopa toka lugha zingine na kama lugha zinginge zote zikopavyo.

Kiswahili ni lugha ya pili kwa ukubwa barani Africa kwanini tusisukume lugha yetu ili ikubalike na kutumika zaidi hadi hao waarabu wenu wajifunze lugha yetu badala ya sisi kuiga kwao kila kitu
Fungua ubongo wako uone fursa,ndio maana ya hii thread,soma vizur uelewe usitoe povu tuu kabla ya kuelewa ujumbe uliopo,kifupi ni kwamba changamkia fursa najifunze jema haijalishi linatoka kwa nani
 
Wewe nakuuliza ethnics kabla ya ujio wa Wabantu wewe umekazana Nilo Saharans.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga, nenda kasome vizuri historia yako, si ile ya kujazwa ujinga amabayo nadhani ndiyo iliyokujaa.

Nimekuulliza juu huko Raptha unaijuwa? Umekwepa.

Do you know about ancient EGYPTIAN CIVILIZATION or NILE VALLEY CIVILIZATION kabla ya kuja kwa hao waarabu wako Afrika na Misri ya leo?

Je mafarao walikua waarabu????????
 
Do you know about ancient EGYPTIAN CIVILIZATION or NILE VALLEY CIVILIZATION kabla ya kuja kwa hao waarabu wako Afrika na Misri ya leo?

Je mafarao walikua waarabu????????


Huo ndiyo ujinga uliojazwa.

Waarabu Afrika hawakuja. Hilo neno Afrika lenyewe ni Kiarabu, for your information.

Uarabu si taifa, si nchi, si eneo, si rangi, ni lugha tu.

Lugha ya kwanza Afrika ni ipi?
 
Wanao kuja ndio wajifunze kiswahili.

Tutaangaika na lugha ngapi Duniani, wakati sisi tuna Lugha yetu ya Taifa?

Mataifa yote yenye Amani kama Tanzania yanaendelea kukua vizuri kiuchumi.

Afrika yetu imeshajua thamani ya Kiswahili, cha ajabu ni baadhi ya Watanzania hawajui thamani ya Kiswahili.

Tunaelekea kwenye uchumi wa kati, ni vizuri kwenda na Tunu zetu. Ikiwemo Mila na desturi za Mtanzania kuzingatiwa.

Tukianza kupuuza vya kwetu, tutapuuzwa kwa mengi, mwisho tushindwe yote.
 
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
Unafikili kwa kutumia----------kama alivyowaambia wabunge marehemu Dr.Masaburi
 
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
Kiswahili chenyewe ambacho ni lugha yako yako unapata 'F' unataka lugha ya kigeni iwe rasmi, post kama hizi utaziona JF pekee
 
Waarabu walikuja mwaka gani hapa tanganyika? Tuanzie hapo kwanza
Walikuja na wakawachukua babu na bibi zetu wengi sana kupita Taifa lolote lile duniani kufanya biashara ya utumwa, lakini walichoamua kuwafanyia watumwa wanajua wenyewe, walitutawala hata kibanda cha mkaa hawakuacha wanini hawa[emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Acha urongo wewe... Me natumia Decoder ya CTV kuna channel kama 15 hivi za kiarabu ukisikiliza cha zaidi utasikia Sifuri,Shekran,Saba,Al-khamis,sub - Kheli ,Walakini, Raisi, Waziri,Tasmini, Magharibi,Wakati,Hamsini,Isha,IShirini,Themanini,Sabini,Tisini wao huitamka Tisaini na maneno yakubahatisha kwenye mpira wakitangaza ndio zero% mambo ya kusema ati ni 50% wewe ni jipu...

Wakusanye Watoto wako uwapumbaze hadi wakue wakiamini Kiswahili ni 50% ya Kiarabu.. Naomba utuandikie Maneno mia tu ambayo kwa kiarabu ni sawa sawa na Kiswahili... nikupe Zawadi achana na hiyo 50% na ukikaa kimya usichangie kabisa vitu usivyovifanyia utafiti...

Tafuta kamusi ya Kiswahili yenye etymology au mtafute mtaalam yeyote wa lugha ya Kiswahili utathibitishe kauli yangu. Tofauli iko kwenye matamshi na kwa kiasi fulani spelling. Kwa mfano neno "Swahili" kwa Kiarabu inatamkwa "Swahil"; "darasa" inatamkwa "darsa"; "mamlaka" inatamkwa "mamlakat", "halali" inatamkwa "halal"; "dini" inatamkwa "din", nk.
 
Acha upotoshaji kiswahili sio 50% kiarabu bali kimetohoa maneno kadhaa toka lugha ya kiarabu na lugha zinginge kama lugha zote duniani zilivyokopa maneno toka lugha zinginge.

Bila huku JF kuna wataalam wa lugha zote mbili. Wanaweza kuthibitisha hili.
 
Mimi ni archaeologist. Sielezei katika hali ya nationalism bali katika evidences.

Bantu walikuja kabla ya Arabs. Indigenous waliokutwa na Bantu ni Sans, Nilo-Saharans kama Masai na Khoi. Ambapo walikuwa scattered na eneo kubwa kulikwepo hakuna watu wengi.

Coast of Eastern Africa walikwepo Africans waliokuwa na trades na Central Africa na Zimbabwe, Mapungubwe. Zanzibar yenyewe ilikwepo na Africans wa Sans miaka ya 29,000 mpaka 6000 baada ya maji kuongezeka na kuzuia kutembea kwenda Zanzibar kwa miguu baada ya Interglacial period 7500 years ago. Evidence zipo pango la Kuumbi Kata ya Jambian Zanzibar.

Arabs walipoingia kuanzia Somalia kuja Azania walikuta kuna centralized states zilizokuwa kutokana na trades za Romans. Waroma walifika East Africa kufanya trades mpaka miaka ya 900AD. Kuna ushahidi na Ptolemy map ya roman imechora mto Rufiji kama ulivyo. Kilwa ilikuwa ya Africans na ilikuwa na African kings na coins zinaonyesha hivyo. Pamoja na Ibn Batuta alitembelea kilea na kusema alipokelewa na Wazaramo na Kings weusi waliokuwa wana power na waarabu wachache waliopita kutembea.

Arabs walichangia kuharibu states kwa kutaka kutawala trades na kulazimisha kueneza Islam na kukuza Slaver iliyopelekea kuharibu power na labour force ya Eastern Africa na kuchukua tittle kusema Arabs ndio wakuu waliojenga Eastern Coast. Archaeological facts hazisemi hivyo. Hivi sasa things have changed na wapo watafiti wengi kama Mark Hotton, Prof Felix, Mary Prendergast, Dr Akshay, M Melhman ambao wanafanya tafiti mpaka sasa na papers zao hazisemi hivyo.

Chittick aliyeanza kufanya tafiti miaka ya 1960 ndio alikuwa na mawazo ambayo aliona Arabs ndio waliojenga East African Coast na Lugha. Lakini alikuja kubadili huo mtazamo 1982.

Modern scholastic reports na books zimehama huo mtazamo wa 1952 - 1970.

Kuhusu kiswahili kuwa na asilimia ya kiarabu kufanya iwe kiarabu inaweza kuwa sawa. Na ikiwa sawa basi kiswahili ni Kireno, Kifaransa, Kingereza na kadhalikwa kwa sababu pia kuna maneno ya lugha nyingine na style ya uandishi wa lugha nyingine.
Pia kiswahili kina lugha ya ki fars kutoka uajemi,au iran
 
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
Kwa hiyo mwakan tukipata wagen wengi toka nchi zinazungumza kireno kama ureno ,brazil,angola,cape vade,msumbiji n.k kireno iwe lugha rasm ya taifa?maajabu,
Ivyi ivyo tukipata wageni wengi toka nchi zinazotumia kifaransa na kihispaniola zote ziwe lugha rasm za taifa!!
 
Back
Top Bottom