Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Namba tunazotumia 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,ni namba za kiarabu,hata shule kwenye somo la 'hisabati'(neno la kiarabu) katika 'vitabu'(neno la kiarabu)imeandikwa namba hizo ni za kiarabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbavu wa mijitu isiyojuwa kutafakari ni kudhania kuwa lugha inatengenezwa na misamiati au maneno.......wakati lugha ni sarufi yaani kanuni za uumbaji wa maneno na uundaji wa sentensi........leo asilimia kubwa ya watu wanao maliza elimu na wamefaulu kiswahili kwa alama A ila hawafahamu ni nini wamefuzu kwa kusoma hicho kiswahili ........Kiswahili ni Kibantu at large percent na kilikwepo hata kabla ya kuja kwa Arabs.
Percent ya Waarabu katika lugha sio kubwa kuzidi percent ya Bantu languages katika kiswahili. Pili kilikwepo kabla ya Arabs kuja na hata wao wamesema katika documents zai kuwa Azania ilikuwa na Lugha moja kutoka katika branches za tribal languages.
Hatuwezi kusema kiswahili ni kiarabu kwa sababu ya uwepo wa maneno ya kiarabu. Kila lugha ina words kutoka lugha nyingine especially when a new item or object is new to another language au popularity yake.
Why uandikie mate wakati Wino Unao.... Kwenye Hoja ama Hizo me huwa sibabaishwi bila Mifano... wekea uhai hoja yako maana me katika kumjibu nimeweka mifano hai wewe umejibu kiporojo zaidi na hujaonesha kitu kwa faida ya watu na wengine wasiwe wanachukua tu maneno ya watu huku hawana Evidence... ya mifano hai maana najua huyo jamaa karopoka tu na hana analolijua zaidi ya kuokoteza maneno ya mtu kama wewe maana siku nyingine ataongeza percent na hana uhakika...
Weka List tuende Sawa... Napenda Ubishi wa Kuelimika na sio Porojo..
Mimi nimeweka zangu wewe Ongeza Zako zaidi tafuta kote kwenye Google vitabu n.k am sure Hatuzungumzii dini tushindwe kuleta evidence..
Upumbavu wa mijitu isiyojuwa kutafakari ni kudhania kuwa lugha inatengenezwa na misamiati au maneno.......wakati lugha ni sarufi yaani kanuni za uumbaji wa maneno na uundaji wa sentensi........leo asilimia kubwa ya watu wanao maliza elimu na wamefaulu kiswahili kwa alama A ila hawafahamu ni nini wamefuzu kwa kusoma hicho kiswahili ........
Lugha kubeba maneno mengi ya lugha ya taifa jingine haifanyi lugha hii kupoteza uhalisia wake......uhalisia wa lugha upo katika sarufi ya matamshi na uumbaji katika sentensi........ sisi tumechukua maneno mengi ya kiarabu......kiingereza......kifaransa........kibantu.......kichina.........ila haya maneno hayajaathiri sarufi ya uumbaji wa maneno na hata matamshi.......kama unabisha chukua sentensi ya kiingereza au kiarabu halafu nibadilishie iwe ya kiswahili bila kuhamisha neno wala kubadili neno yaani ikae vile vile bila kuya pangua maneno.....ndipo utaona kuwa kila lugha ina mfumo wake wa sarufi unaojitegemea.......
upo sahh mkuukiingereza chenyewe ishu kutamka hata maneno 10 mfululizo bila kigugumizi leo hii mnataka kiarabu kisa mmemuona mfalme nyie watu nyie!!
HE.....ama.....wewe umetokea wapi mbona unaibuka kama nsyuka......ila nimkumiss......njoo basi geto leo miss chagga hayupo kaenda moshi..........njoo basi unipe game kama la siku ile........Weka sentensi ya Kiarabu unayotaka ubadilishiwe. Tuanzie hapo kwani hapa hakiongelewi Kingereza.
Me nadhani kwa jinsi watanzania wanavyopenda kujikomba komba very soon wamarekani watafanikiwa na ile sera yao ya ndoa za jinsia moja......yaani wasione pesa wanaanza kutaka kujifunza na lugha za kuchumbiwa kabisa.........sipendi shobo za kijinga mimi.[emoji35]upo sahh mkuu
Watoto masnitch sana hawa.....sasa si kiarabu cha kazi gani.......Waaaarabu? wale waliowahasi babu zetu...mashraf Habib..ntajifunza harka iyo lugha ili siku navolipa kisasi wawe wanajua naongelea nani
Wewe ni mjinga namba moja Tanzania nzima.Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
Ba
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..
Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!
Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)
chuki na husda zimekutawala....
Yaani kutohoa ndio inawafanya kutuaminisha kuwa sisi ni waarabu tuliosahau asili yetu pumbavu.......mnasahau kuwa sisi ni mazafaka black niggaz pure kabisa......mnataka kutudanganya kuwa tulizaliwa talebani ......hebu acheni ujinga kiarabu my footAcha urongo wewe... Me natumia Decoder ya CTV kuna channel kama 15 hivi za kiarabu ukisikiliza cha zaidi utasikia Sifuri,Shekran,Saba,Al-khamis,sub - Kheli ,Walakini, Raisi, Waziri,Tasmini, Magharibi,Wakati,Hamsini,Isha,IShirini,Themanini,Sabini,Tisini wao huitamka Tisaini na maneno yakubahatisha kwenye mpira wakitangaza ndio zero% mambo ya kusema ati ni 50% wewe ni jipu...
Wakusanye Watoto wako uwapumbaze hadi wakue wakiamini Kiswahili ni 50% ya Kiarabu.. Naomba utuandikie Maneno mia tu ambayo kwa kiarabu ni sawa sawa na Kiswahili... nikupe Zawadi achana na hiyo 50% na ukikaa kimya usichangie kabisa vitu usivyovifanyia utafiti...
Faiza beby......hawa unaowajibu vibaya wengine ni shemeji zako hauwajui tu......hebu kuwa na subra basi mpenzi......njoo geto huku tupeane ndimi ninyonye hizo lips hadi usahau kwenda masjidi kidogo..........nikupe mgegedo hadi majirani wajue jina langu kupitia wewe.....Unaleta picha mpya na ya kuchora.
Naam, kutokuwa/kutokuvaa nguo ndiyo culture ya Kibantu ya miaka michache tu nyuma, sasa ulikuwa unambishia nini huko juu?
Wewe nawe mara "archaeology" mara "anthropology", huko kote huna unalolijuwa zaidi ya ujinga uliojazwa nao.
Nimekuuliza Raptha unaijuwa?
Huyu aliyeleta mada atakuwa mhafidhina amemezeshwa sumu anataka kutubadili wote tuvae madela utadhani tupo kule kwa wapenda fujo.........wanataka tuitwe watanzanikstani....nchi nyingi zinazozungumza hiyo lugha hawawezi hata kutengeneza toyo.
tunataka Kichina, kijapan na kikorea.
Ukiona kimeshaandikwa hautaelewa kama kimeanzia juu kwenda chini......kushoto kwenda kulia ama sijui vipi.......yaani ni taabu hakieleweki kama waarabu wenyewe na faiza beby foxhivi kiarabu ndo kinaandikwa kutoka kushoto kwenda kulia? au kinaelekea uelekeo upi wajuzi nitoen ujinga kidogo
So far waarabu wakija wanatoa misaada kwenye taasisi zao za kidini......na masherti yake ni watumiaji wawe wahafidhina tu wasiwe watanzania wa imani nyingine........sasa kwa style hiyo kuna haja gani ya kuhangaika kuwa jua hao waarabu watu wabaguzi kama niniNa mchina aliyewekeza hata kwenye kuuza mahindi ya kuchoka K.KOO,mbona hamsemi tujifunze kichina mashuleni.
Sasa basi kumbe kiswahili pia ni kiingereza maana kompyuta- Computer......baiskeli - bicycle ......televisheni - television..........taipureta -typewriter .......helikoputa- helicopter..........beseni- basin .......dishi-dish.........kiarab chenyewe Kiswahili tayari lol - chai-Shai, Maji-Mai, Swahili-Swahilia, Asubuh-Subhi, Ishirini-Ishiruna, Thalathini-Thalathuna ha ha ha ha ha hayo kwa uchache ila yapo mengi sana,
Katika watu wanne uliokaa nao hapo usihangaike kujua kichaa yupo wapi.......ni wewe ndugu......wewe ndiye kichaaKiarabu kisizungumzwe Tanganyika na Zanzibar pekee ni Ulimwenguni kote coz kinatoka kulia kwenda kushoto ndo Lugha Mama Duniani ya kimataifa ndo kifuate Kiinglishi.
Acha upotoshaji kiswahili sio 50% kiarabu bali kimetohoa maneno kadhaa toka lugha ya kiarabu na lugha zinginge kama lugha zote duniani zilivyokopa maneno toka lugha zinginge.Mbona 50% ya maneno ya Kiswahili ni ya Kiarabu likiweno neno "Swahili"?