Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

اوووووه شكرا يا اخي العزيز، كلنا امة اسلامية ولغتنا العربية ونحبها محبة يعقوب ليوسف، من يكره العربية فاليأكل الليمون[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] حتى يخفف الالم، لكن العربية ما زالت عالية في كل العصور، لغة يتلفظ بها كل مسلم خلال الصلوات الخمسة.
فعلأ
يجب علينا ممارسة العربي والتمتع المفردات الى الاخير تمديد كنت أكثر أهلا و ورحب كل الناس ..
 
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
na kichina je maana tunafanya sana biashara na china kuliko hizo nchi ulizozitaja
 
Na mchina aliyewekeza hata kwenye kuuza mahindi ya kuchoka K.KOO,mbona hamsemi tujifunze kichina mashuleni.
 
c tunajifunza tu ubongo wenyewe hauna limit ya kukrem,.kiarabu,kinyaturu, twende kazi.kama ww kibichwa chako kama ndimu komaa tu na kiswahili us we learn moo.
 
Lugha yenyewe hii ya kuandika kutoka kulia kwenda kushota? hapana!
Na tatizo ni nini kama unaandika kutoka kulia kwenda kushoto? Kuna nyingine kutoka juu kwenda chini. So, what is the problem? Hebu nieleweshe. Nionavyo ni convention tu. Kwa hivyo nini tatizo hasa hapo?
 
Basi Wabongo watakapogundua kwamba wenzao Kenya tayari wanafundisha lugha nyingi zaidi vyuoni including German, Chinese na Arabic, utawasikia wakilalamika kwamba wenzetu Wakenya hivi au vile.
 
Wow! What a bigoted-obnoxious opinionated comment!

Ulisoma wapi kuwa wabantu hawakuvaa nguo? Na lugha yao ipo hivyo?


Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?

dfc22fa8f61297363ee0de27ec96ff67.jpg
 
Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?

dfc22fa8f61297363ee0de27ec96ff67.jpg

So what is your point? Whats the need of calling someone barbaric kwa clothing style? Na unamlinganisha na nani ambaye unamwona civilized bu your own point of views? Inaonekana hujasoma anthropology na hutambui kuheshimu cultures. Kila culture in styles zake, Africa got more than 2000 tribes with their own cultures na you cant formulate a generalized assumption kwa urahisi hivyo.

Pia its their culture if some do, you can't judge them by your standards. You have your own standards applied to your own source. Its applied on your source. Period.

a1ad1e1b68388013ee20317796bbde21.jpg


e7cd7795c92c52ae05da076fff8fe8cb.jpg


Respect Cultures Diversity!
 
So what is your point? Whats the need of calling someone barbaric kwa clothing style? Na unamlinganisha na nani ambaye unamwona civilized bu your own point of views? Inaonekana hujasoma anthropology na hutambui kuheshimu cultures. Kila culture in styles zake, Africa got more than 2000 tribes with their own cultures na you cant formulate a generalized assumption kwa urahisi hivyo.

Pia its their culture if some do, you can't judge them by your standards. You have your own standards applied to your own source. Its applied on your source. Period.





Respect Cultures Diversity!

Unaleta picha mpya na ya kuchora.

Naam, kutokuwa/kutokuvaa nguo ndiyo culture ya Kibantu ya miaka michache tu nyuma, sasa ulikuwa unambishia nini huko juu?

Wewe nawe mara "archaeology" mara "anthropology", huko kote huna unalolijuwa zaidi ya ujinga uliojazwa nao.

Nimekuuliza Raptha unaijuwa?
 
nchi nyingi zinazozungumza hiyo lugha hawawezi hata kutengeneza toyo.
tunataka Kichina, kijapan na kikorea.
 
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
kiswahili kimewashida sembuse kiarabu .hahahahah
 
Waarabu wenyewe wanajitahidi wajivunze kiingereza sisi ndo tunataka tuchukue lugha yao kweli tz vil.za wengi
 
Kihalalishwe ili usipate shida ya kutafsiri jina lako la blessing?

Ebu usitumbushe machungu, kaa kimya hatutaki kuwa Watumwa tena!
 
hivi kiarabu ndo kinaandikwa kutoka kushoto kwenda kulia? au kinaelekea uelekeo upi wajuzi nitoen ujinga kidogo
 
Hilo wazo nalipinga, nina mashaka na mtoa mada ana chembe ya nia binafsi juu ya lugha hiyo!
 
Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
Awamu ya Tano mmekuja na vichaa wengi ndio maana mnataka muwe karibu na milembe hosptl
 
Back
Top Bottom