Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Huo ndiyo ujinga uliojazwa.

Waarabu Afrika hawakuja. Hilo neno Afrika lenyewe ni Kiarabu, for your information.

Uarabu si taifa, si nchi, si eneo, si rangi, ni lugha tu.

Lugha ya kwanza Afrika ni ipi?

Acha uongo bibiye!.....Africa was coined by the GREEKS for lands south of Greece ....after a certain general AFRICANUS who won the battle in Carthage!
Huna ulijualo weye, umekomalia dini utaijuaje historia madhubuti bila elmu dunia/sayansi/"anthropology"?
Tena ukome kuwapotosha watu!
 


Angalau wazungu hawakuwanyofoa nyeti zao mababu zetu na kuwafanya kutoweza kuzaliana.
Tazama WAMAREKANI WEUSI LEO HII....mamilioni...hata WABRAZIL,COLOMBIA ,HAITI na kadhalika.
Wazungu wenyewe wakagundua makosa yao na kupigana vita kuukomesha UTUMWA.
Waliwapiga hata hao waarabu wako ili utumwa ukomeshwe dunia nzima.
Leo hii waarabu bado wanaendeleza utumwa...Mauritani,mashariki ya kati n.k
Makatili, mahayawani hawa waarabu wako!
 
Leo hii Marekani ana raisi mweusi wa asili ya KENYA/AFRIKA(baba mzazi)
Ulaya kuna viongozi wengi tu weusi pamoja na wa asili ya Afrika
ARABUNI JE?
Hata wazawa weusi hawana nafasi,hawapendwi,hawapewi nafasi hata uongozi............na husiniambie lolote kwasababu nipo hapa hapa SAUDIA...na nimekuwepo Iraq,Kuwait,Qatar,Egypt na hizi nchi zote za kiarabu arabu.

waarabu mashetani tu!
 
kwani wew umekuja n.a. mtukufu mfalme au ni huku huku tz?
Ha ha ha haa haww!! Nimeipenda hiyo juu "Don't study me You wont Graduate" !!!

Ndg.mpendwa Mie nilikuja tangu karne ya 14... Babu yangu alikuja na jahazi huku, Sasa huyo highness Mfalme kaja kunirubuni nirudi anichukue huko Morocco..!! Na hapa mashemeji na wajomba wananihitaji khaswa.. !! Sasa sijui vipi ? nipeni ushauri jamani
 
Oh, umeni'pre empty' mkuu. Kwa kweli lugha kubwa duniani ni Kichina na hawa hatuwatendei haki kabisa kwa yale mema waliyotutendea na bado wanatutendea mema tu. Sasa halua na tende kutua tu basi baadhi yetu tumevurugwa! Aibu.
Na wewe sijui unaingea pumba gani.
Umesoma nilicho andika? Na hapo nilipo weka
Rangi nyekundu ndio nini tu ulitaka kusema?
Maana sijaelewa.
 
Hujaona filamu ya Rootsnani Kasema wazungu hawajatowa nyeti zao tazama utumwa uliofanywa na Waarabu na waafrika wenyewe asili ya huku kama Kuwait, Bahrain, Saudi Arabia ni RoyaL family tazama TV za Uarabuni utaona hata mawaziri ni Asili ya Kiafrica hata mtoto WA kifalme alitawala Kuwait ni Muafrika asili, Jee mazungu gani aliemtukuza muafrika huko Ulaya na Mmarekani hakuna mpaka imediriki Wabaguzi wazungu south Kufanya Ibada makanisa hawaingii waafrika halafu mnawatetea wazungu na propaganda zao
 
Sa' ndugu hapa huoni unajikanganya mwenyewe? Umeambiwa 50% ya Kiswahili ni maneno ya Kiarabu sasa wewe ukaenda kutafuta Kiswahili kwenye Kiarabu! Kwani mtu akisema 80% ya chai ni maji; unachotakiwa kufanya ni kwenda kutafuta %age ya chai kwenye maji au maji kwenye chai?

Smart move, tena ya kukomoa, ungeandika paragraph mzima ya Kiswahili halafu ungemtaka anayesema 50% ya Kiswahili ni maneno ya Kiarabu, aoneshe angalau hiyo 50% ya maneno ya Kirabu kwenye paragraph yako ya Kiswahili! Kinyume chake, ingekuwa ndo unabishana na mimi; ningekuambia ikiwa Kiarabu kina maneno 100 na Kiswahili maneno 60 basi ni maneno 33.3% tu ya maneno ya Kiswahili ndiyo unaweza kuyakuta kwenye Kiarabu kwahiyo usishangae kupata maneno machache kwavile unatafuta maneno machache toka kwenye bahari ya maneno mengi!!!
 
Na wewe sijui unaingea pumba gani.
Umesoma nilicho andika? Na hapo nilipo weka
Rangi nyekundu ndio nini tu ulitaka kusema?
Maana sijaelewa.
Mkuu, nilikuwa namaanisha kile nilichokuwa nataka kuchangia (mawazo yangu) wewe umeniwahi, kwa maana unachowaza wewe na mie ni hivo hivo.
 
Hata KUNG'ATUKA ni Kiarabu!!!!!!!!!!
 
NUOTE="FaizaFoxy, post: 18205560, member: 43551"]Kwa uchache ttu bila kwenda mbali, hayo yote niliyokuwekea nyekundu ni maneno yanayotokana na Kiarabu.

Sasa yahesabu yana asilimia ngapi halafu ukatae wewe huna asilimia hizo za Uarabu.

Kumbuka, Uarabu ni lugha, si kabila wala taifa
wala eneo fulani.[/QUOTE]


Ni kweli kiswahili kimebeba mane no mengi ya kiaarabu ni nadra kuunda sentensi ya kiswahili bila neno ya kiaarabu stl hiyo haimaanishi kiswahili ni kiaarabu
Hata kiajemi/farsi na kihindi/Urdu imebeba mane no hayo hayo ya kiaarabu ambayo yapo vile vile kwenye kiswahili

Ni
 
Sasa basi kumbe kiswahili pia ni kiingereza maana kompyuta- Computer......baiskeli - bicycle ......televisheni - television..........taipureta -typewriter .......helikoputa- helicopter..........beseni- basin .......dishi-dish.........
Vyote hivyo vina majina yake ya kiswahi na ni magumu mno, nedna kwenye website ya taasisi ya Kiswahili au endelea kuulizia...AC-Kiyoyozi...Calculator - Kikokotoa, Usijidanganye vyote ulivyotaja vina majina yake halisi.
 
Baaasi baaasi baaasi baba usije ukauwa mtu hapa kwa hasira maana wamekukera sana wewe.[emoji1]
 
Katika historian uliosoma zaidi ya miji kama Kilwa ,Bagamoyo na Zanzibar wapi katika. Maeneo ya bara walikua na coin zao[/QUOTE]
cc: Faiza Foxy
 
Huku inabidi Faiza FOxy apelekwe ili akajue kuwa shobo zake na michepuko yake ya kiarabu ni kwanini inatukera na hatuielewi hata kodogo...........maana akianza kutapika uozo wake hapa utadhani ana hata ndugu muarabu katika ukoo wake......wakati yeye ni mweusi tii kama ameangukiwa na kunia la mkaa............aende tu kule akapewe makofi na mitama hadi akirudi aelewe kuwa waarabu ni mbwa tu....
 
Sasa kiswahili ni kipi na wewe mbona unazungumza vitu ambavyo ni havina maana...........sasa unasema kiswahili ni kiarabu na tayari hapo ni umeshatofautisha majina kuwa ni lugha mbili tofauti........kutohoa ni tayari umeshaharibu ladha halisi ya neno maana umelibadili kulitamka na hata kuliandika na hiyo inalifanya lile neno kuwa ni jipya ingawa maana zinafanana.....ila haimaanishi kuwa hizi lugha mbili ni zinafanana kabisa......so acha mawazo ya kiwehu.......ni sawa sawa na kusema baadhi ya gari za toyota na zile za marekani......huwa zinafanana kwa asilimia kadhaa body zao.....lakini ukija kwenye performance na bei pamoja na nchi zimetengenezwa inakuwa ni different issue hakuna kufanana hata kidogo na hapo ndipo level tunapoanza kuzungumzia gari......sio kufanana we vipi wewe aaaaagh
 
umetumwa?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…