Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
فعلأاوووووه شكرا يا اخي العزيز، كلنا امة اسلامية ولغتنا العربية ونحبها محبة يعقوب ليوسف، من يكره العربية فاليأكل الليمون[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] حتى يخفف الالم، لكن العربية ما زالت عالية في كل العصور، لغة يتلفظ بها كل مسلم خلال الصلوات الخمسة.
na kichina je maana tunafanya sana biashara na china kuliko hizo nchi ulizozitajaHuku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
Na tatizo ni nini kama unaandika kutoka kulia kwenda kushoto? Kuna nyingine kutoka juu kwenda chini. So, what is the problem? Hebu nieleweshe. Nionavyo ni convention tu. Kwa hivyo nini tatizo hasa hapo?Lugha yenyewe hii ya kuandika kutoka kulia kwenda kushota? hapana!
Tunasema nacho inafaa kujifunza.Na mchina aliyewekeza hata kwenye kuuza mahindi ya kuchoka K.KOO,mbona hamsemi tujifunze kichina mashuleni.
Wow! What a bigoted-obnoxious opinionated comment!
Ulisoma wapi kuwa wabantu hawakuvaa nguo? Na lugha yao ipo hivyo?
Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
So what is your point? Whats the need of calling someone barbaric kwa clothing style? Na unamlinganisha na nani ambaye unamwona civilized bu your own point of views? Inaonekana hujasoma anthropology na hutambui kuheshimu cultures. Kila culture in styles zake, Africa got more than 2000 tribes with their own cultures na you cant formulate a generalized assumption kwa urahisi hivyo.
Pia its their culture if some do, you can't judge them by your standards. You have your own standards applied to your own source. Its applied on your source. Period.
Respect Cultures Diversity!
Naam kaif al-umul yah akhy..!?Hal tatakallamu allughah al-arabiah?
kiswahili kimewashida sembuse kiarabu .hahahahahHuku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.
Hal tatakallamu allughah al-arabiah?
Awamu ya Tano mmekuja na vichaa wengi ndio maana mnataka muwe karibu na milembe hosptlHuku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu kama lugha rasmi ya mawasiliano nchini Tanzania.