Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], dah mzee, em ngoja nihustle kwanza ila naskia geto watu wanatafunwa
Kama hivigeto liwe na game accessories alafu na mziki over
Hebu tupiamo na kapicha kake inbobo[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], dah saivi nshaopoa kingne, ila bado kinaniiita mdg wake, ila nshasema hachomoki, aisee kuna mtoto mmja ni mkali balaa.
Mara ya kwanza nlimuita nkasema namjua, akakataa alafu akasepa, akawa ananichomolea, nlkua naumia kmoyo moyo, nkamchunia kwanza, juzi juzi, tu apa tumekaa karbu nkawa napga story na dem mwngne,
mara ghafla akasogea, bas tukaanza kupuga story ,za harmonize na wcb, mara nkamdownloadia cover za never give up.
mara akaanfusha no. story hazikauki, sa iv ananiita damu yake, alafu nampa ushauri bas anais kapata, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], kumbe baharua nmelenga shimo, lazma nmsukie uzi
Amini kwamba hata mzee wako wakati anaanza maisha alilala chini.Mimi siku ya kwanz geto nililala chini mkuu,,, lkn sahivi geto limejaa,,, hakuna kinachoshindikana chini ya jua
Msuprise hata na ka techno mzeemanzi mkali alaf ana tu macho ka dagaa iv, cheupeee, sasa picha sina hana smart alafu sku moja aliwai niambie hapendi picha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dah aisee bado nachungulia hot pot ila karibia nafukuzwa
Hii kitu ina umhimu wake aisee, natamani siku moja nipange room, nianze kujitegemea, kikubwa room yangu sitaki ikose Pad na Tv kwa ajili ya game, yaani game kwa kwenda mbele.
Mbali na uchumi kwangu kua mgumu, kitu inayonikimbiza kupanga, ni kupika kupika so kazi ya kitoto aisee, alafu kuna na kudeki unaweza ukavunjika ata uti wa mgongo kisa kuinama inama asubui.
mambo ya kufagia, sasa apo ndo tutamalizana na majirani.
alafu uzuri wa geto nasikia ua kuna watu wanatafunwa kama mihogo, wakuu wekeni wazi usumbufu ulioko geto, raha za geto, pamoja na mihangaiko,
Game setup hiyo.kama studio