Umuhimu wa kukaa ghetto

Umuhimu wa kukaa ghetto

geto liwe na game accessories alafu na mziki over
Kama hivi
5981e36c4528e628198b632d-750-563.jpeg
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], dah saivi nshaopoa kingne, ila bado kinaniiita mdg wake, ila nshasema hachomoki, aisee kuna mtoto mmja ni mkali balaa.

Mara ya kwanza nlimuita nkasema namjua, akakataa alafu akasepa, akawa ananichomolea, nlkua naumia kmoyo moyo, nkamchunia kwanza, juzi juzi, tu apa tumekaa karbu nkawa napga story na dem mwngne,

mara ghafla akasogea, bas tukaanza kupuga story ,za harmonize na wcb, mara nkamdownloadia cover za never give up.

mara akaanfusha no. story hazikauki, sa iv ananiita damu yake, alafu nampa ushauri bas anais kapata, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], kumbe baharua nmelenga shimo, lazma nmsukie uzi
Hebu tupiamo na kapicha kake inbobo[emoji2]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mpaka lini sasa jamaa nakaribia kuzeeka, saivi naanza kuona adi aibu kufunua ma hot pot
Raha na kero za kujitegemea ni kupata na kukosa pesa Dogo, endelea kufaidi maisha kwenu
 
Sipati picha mnavyogombania remote hapo sebleni

Baba anataka taarifa ya habari
Wewe unataka mpira
Mama anataka tamthilia
Dada anataka mziki

Pole sana mkuu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dah aisee bado nachungulia hot pot ila karibia nafukuzwa

Hewa imeanza kukutoshaa 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Duu mkuu unasoma darasa langapi tuanzie hapo maana naona akili yako ipo kwa choo
Hii kitu ina umhimu wake aisee, natamani siku moja nipange room, nianze kujitegemea, kikubwa room yangu sitaki ikose Pad na Tv kwa ajili ya game, yaani game kwa kwenda mbele.

Mbali na uchumi kwangu kua mgumu, kitu inayonikimbiza kupanga, ni kupika kupika so kazi ya kitoto aisee, alafu kuna na kudeki unaweza ukavunjika ata uti wa mgongo kisa kuinama inama asubui.

mambo ya kufagia, sasa apo ndo tutamalizana na majirani.

alafu uzuri wa geto nasikia ua kuna watu wanatafunwa kama mihogo, wakuu wekeni wazi usumbufu ulioko geto, raha za geto, pamoja na mihangaiko,
 
Back
Top Bottom