Umuhimu wa kukaa ghetto

Ukichakata jirani hutaleta demu mwingine hapo geto jirani atakuja kukuletea mtiti
 
unakua na geto kama la kiben10 mpk raha, yaaaani vitu vyote vilivyomo ndani unaweza kuweka kwenye tranka ukahama, huko uendako hata ukitua kwenye cordo unapika unalala asubuh unaendelea na safar.
 
Woga wako tu kawaida.
Pc million 1 na kuendelea.
Pad (50k hadi 150k)+ racing wheel kama utahitaji jumla lak3 had 4.
Monitor au tv laki 5 had 7
Hiyo meza complete lak 4
Mziki wa hi-fi lak 4 na kuendelea.
Jumla hapo wastani mil3
(Starehe gharama)
Hapo umemtajia mshahara wake wa miezi 5.
Hivyo aendelee kukaa home mpaka mwezi wa kwanza akifikisha hyo hela akanunue
 
Ukichakata jirani hutaleta demu mwingine hapo geto jirani atakuja kukuletea mtiti
si namwambia mi nina demu wangu, ko ata akichakatwa ajue kuna mwenzake
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzee mi kibarua
Hapo umemtajia mshahara wake wa miezi 5.
Hivyo aendelee kukaa home mpaka mwezi wa kwanza akifikisha hyo hela akanunue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…