Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe bado bado sana
Kwamba hata laki 6 haifiki? Aah acha masihara junia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzee mi kibarua
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ivo ivo ni kufunua ma hotpot tuChukua hyoView attachment 1194413
Sasa boom na tpa wap na wapnategemea boom tu
Una miezi minne tu,usiwe na papara.uu mwaka sitaku uishe, tuombe uzima, na ni marufuku kurudisha mpira kwa gorikipa
Una miezi minne tu,usiwe na papara.
Maana licha ya hivyo,umri bado haujakutupa mkono kabisa..kuwa makini changa karata zako vyema,na pia uchague mahala sahihi pa kuishi,sio uende ukapange buza huko,kila siku utakuwa unafika kazini saa nne
Hapana mimi bado nipo secondary, form threena wewe si uko TPA lakini
Ni muhim hiloila we jamaa una kumbu kumbu
Hili ghetto hapana kwakweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe so mimi tu, baharia katisha, ilo geto so poa
sema madogo wa siku hizi wameanza kujielewa mapema Sana...mitandao yao yakujiunga wanajiunga na JF hata kama wataongea pumba ila ndio hivyo kadri siku zinavyoenda akili zinakua na kupevuka..I guess miaka mi 5 mbele TZ vilaza watakua wachache sana.
Mkuu unajuwa maana ya getto wewewe yako iko wapi, au wewe ndo ulitoa 7800, umekuja na id nyingine