Umuhimu wa kuvaa mlegezo

Umuhimu wa kuvaa mlegezo

ukiona mvulana kavaa mlegezo jua hana heraa... yaani hana heraa.. hapo anatumia swaga tu kujiweka kundini.
 
Mimi kwa vi teenager ninavichukulia kuwa ni foolish age, lakini pale ninapomuona kijana wa 25 and above na mlegezo ndiyo ninawasiwasi na uwezo wake wa kufikiri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

janaume kubwa na familia yake linavaa kata K
daahh!
 
Wewe ni mwanaume au mwanamke?
Kuzaa na mlegezo wapi na wapi?au sijakuelewa?
Mie kidume tena siyo kidume tuu bali cha mbegu tena za kiumee..! Sasa hao wababa na vijana wabana matumbo km wamejifungua wasituzingue aisei.
 
Usiombe upande daladala, ukae karibu na mlango halafu konda awe mchafu na mlegezo wako huku kainama mlangoni... Uuui
 
Mara nyingi mnakuwaga hamna nguvu...kama suruali imekushinda kuivuta juu utawezaje kumkabili mtu?
We kalili utanikutana siyo hiyo utaenda kuhadithia wenzio mnaojifanya wasanto..!
 
We kalili utanikutana siyo hiyo utaenda kuhadithia wenzio mnaojifanya wasanto..!
Natamani ukatize kitaani kwetu tuone utata wako.
Wee hatutaishia kuukutia mbata tuu tutakuvua na gagulo lako kabisa. Tunakalisha hata tembo wee digidigi utatushindwa kwa lipi labda.
 
Origin of mlegezo
Mlegezo au kata k origin ni Marekani, hii ilitokea kipindi ambacho niggas wengi walikuwa wakifungwa magerezani,.
Sheria ya marekani hairuhusu wafungwa kuvaa mikanda ,kwa sababu ya vurugu au kukwepa hukumu.
Sasa kwa wenzetu black america akienda jela akirudi bac ni respect xo ,walipokiw wakitok kifungoni waliiadapt ile hali ya mlegezo mpk thix time hadi wewe ndugu yangu unaigaa



[HASHTAG]#umetoka[/HASHTAG] jelaaa
 
Back
Top Bottom