Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeeh halafu unakuta kabadili hadi muondoko yani ndipo huwa nachoka zaidiWeee yaani shida tupu!
Kuna watu hizo boksa mpk aibu ukiiona!
Mimi kwa vi teenager ninavichukulia kuwa ni foolish age, lakini pale ninapomuona kijana wa 25 and above na mlegezo ndiyo ninawasiwasi na uwezo wake wa kufikiri.Wananikera mie wavaa kata K!!
Yaani mwanaume mvaa hivi!ptuuuu
Nina muda nae basi ni yeye tu kujipendekeza na kuingia anga zangu.Ila nahisi huyu hamnazo so nachukulia kama nimekutana na chizi so anaweza ongea chochoteTemana nae huyo atakuharibia siku bure.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi kwa vi teenager ninavichukulia kuwa ni foolish age, lakini pale ninapomuona kijana wa 25 and above na mlegezo ndiyo ninawasiwasi na uwezo wake wa kufikiri.
Mie kidume tena siyo kidume tuu bali cha mbegu tena za kiumee..! Sasa hao wababa na vijana wabana matumbo km wamejifungua wasituzingue aisei.Wewe ni mwanaume au mwanamke?
Kuzaa na mlegezo wapi na wapi?au sijakuelewa?
Hahaa. Hakuna namna..Lazima nikushike hata kama utanipiga....vitasa
Yaani wengine wana watoto, tena mtu yuko 28-30 bado anavaa mlegezo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
janaume kubwa na familia yake linavaa kata K
daahh!
Kweli bhuana...inaelekea ma manzi nao wanapenda hii kitu..Unakuta sista duu yuko benet na kajamaa kamevaa mlegezo wala haoni tabu...
Mpangaji wetu yuko kwenye 40s anavaa mlegezoYaani wengine wana watoto, tena mtu yuko 28-30 bado anavaa mlegezo.
We kalili utanikutana siyo hiyo utaenda kuhadithia wenzio mnaojifanya wasanto..!Mara nyingi mnakuwaga hamna nguvu...kama suruali imekushinda kuivuta juu utawezaje kumkabili mtu?
Mbona kuna jimama hapa jirani linavaaga sketi fupi na lina 47 yrs mimi siongei? acha starehe za watu weyeMpangaji wetu yuko kwenye 40s anavaa mlegezo
Namtazamaga namdharau hata heshima simpi!
Natamani ukatize kitaani kwetu tuone utata wako.We kalili utanikutana siyo hiyo utaenda kuhadithia wenzio mnaojifanya wasanto..!
Achana nae huyo nahisi hana akili vizuriJuzi kwenye uzi wako wa chura umeniita tapeli ukaniambia shenzi zangu, leo unamwambia dada huyu tusi hili..wewe ni mwenzetu blaza jaribu kubadilika hizi lugha sio nzuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona kuna jimama hapa jirani linavaaga sketi fupi na lina 47 yrs mimi siongei? acha starehe za watu weye