Umuhimu wa Maalim Seif kuingia kwenye GNU ni mkubwa iwapo tu Jumuiya ya Kimataifa itashindwa kurejesha uchaguzi mpya Tanzania

Uzuri hata huyo atakayewang'Anya haishi milele, na mbaya zaidi anaweza asimalize hata miaka miwili ijayo! Kwa afya ile niliyoiona mhhhh!
 
Ngoma imeshaisha hiyo mkuu
 
Kwa maalim Seif this was his last and his best shot. Wamemkatili this time kwa wizi wa mchana I think its high time apumzike aangalie afya yake. He has done his part. Aendelee na uenyekiti wa ACT na mwenge wa urais uchukuliwe na vijana kwenye chama chake.

Historia itamkumbuka kwa kutumia nguvu zake na ujana wake kwa kutetea maslahi ya wazanzibari ndani ya muungano bila kuchoka.
 
Hizo picha CCM wanapenda tuzione ili tuogope. Tena huwa wanasema waambieni watoto wenu wasithubutu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…