Pitia tena makala nukta kwa nukta uelewe mantiki kwanza.
Maalim Seif ana Umma, CCM INA dola.
Madhara yanayokuja sasa ni makubwa.
Upinzani unahitajika ndani na nje japo kama huko ndani nako utakuwa umebanwa.
Ya 2015 yasirudiwe hats kama halo in mbaya vipi.
Kuna kila dalili vyama makini kufutwa