Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Zamani kanisa katoliki kama linataka kumfanya mtu kuwa mtakatifu lilikuwa linaajiri mtu fulani wa kuitwa Advocate Dei(wakili wa shetani). Kazi yake ilikuwa ni kuchambua mabaya ya mtu huyo na kujenga hoja kuwa hafai kuwa mtakatifu.
Kwahiyo, huyu mtu anayepewa utakatifu alikuwa ni bora sana, lakini ilionekana kuna umuhimu mkubwa wa kuangalia upande wake wa pili. Sasa basi, Nyerere alikuwa ni moja ya viongozi bora kuwahi kutokea. Lakini ni muhimu sana kujua upande wake wa pili. Kuna mengi ya kujifunza kutokana na makosa ya mtu, pengine hata kuliko mazuri yake.
Ni vyema haya makongamano ya Nyerere yaalike na watu wa upande wa pili ili tupate kumfahamu zaidi.
Tuanze hapa kwenye huu uzi. Tujadili makosa ya Nyerere, pengine tunaweza kujifunza zaidi.
Kwahiyo, huyu mtu anayepewa utakatifu alikuwa ni bora sana, lakini ilionekana kuna umuhimu mkubwa wa kuangalia upande wake wa pili. Sasa basi, Nyerere alikuwa ni moja ya viongozi bora kuwahi kutokea. Lakini ni muhimu sana kujua upande wake wa pili. Kuna mengi ya kujifunza kutokana na makosa ya mtu, pengine hata kuliko mazuri yake.
Ni vyema haya makongamano ya Nyerere yaalike na watu wa upande wa pili ili tupate kumfahamu zaidi.
Tuanze hapa kwenye huu uzi. Tujadili makosa ya Nyerere, pengine tunaweza kujifunza zaidi.