Umuhimu wa upinzani bungeni waonekana kwa mara ya kwanza

Umuhimu wa upinzani bungeni waonekana kwa mara ya kwanza

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Hayati Magufuli alifanya Mambo mengi mazuri, lakini hili la kutuletea wabunge wa chama kimoja bungeni linamtia doa kubwa sana, Leo bungeni kila mmoja ni kupongeza tu! Hakuna hata mmoja atakayepinga maana atapoteza ugali!!

Ni Imani yangu kuwa wapinzani wangekuwa bungeni tungeyajua mambo mengi yaliyojificha nyuma ya jambo hili.
 
Hayati Magufuli alifanya Mambo mengi mazuri, lakini hili la kutuletea wabunge wa chama kimoja bungeni linamtia doa kubwa sana, Leo bungeni kila mmoja ni kupongeza tu! Hakuna hata mmoja atakayepinga maana atapoteza ugali!!

Ni Imani yangu kuwa wapinzani wangekuwa bungeni tungeyajua mambo mengi yaliyojificha nyuma ya jambo hili.

Baada ya wapinzani hao kuish kama njiwa ktk awamu fulani, wana deserve kupumzika. Inachosha sana kumpigania mwananchi ambae haelewi anataka nini
 
Mwendazake alikuwa tapeli mkubwa wa siasa kuwahi kutokea Tanzania

Mtu anawawekea viongozi kinga ya kutoshtakiwa, anaua vyombo vya habari, anaua vyama vya upinzani halafu kuna watu anawaambia eti ni mzalendo na wanakubali
 
kweli katika hili magu alitukosea saaaana yani kuyaleta haya ma mbwa yote halafu kibaya sasa hata yale yote aliyoyaibia kura yanamdhihaki tena wazi wazi ahahah kmmke
 
Hayati Magufuli alifanya Mambo mengi mazuri, lakini hili la kutuletea wabunge wa chama kimoja bungeni linamtia doa kubwa sana, Leo bungeni kila mmoja ni kupongeza tu! Hakuna hata mmoja atakayepinga maana atapoteza ugali!!

Ni Imani yangu kuwa wapinzani wangekuwa bungeni tungeyajua mambo mengi yaliyojificha nyuma ya jambo hili.
Dikteta alifanya jambo la kijinga sn, CCM ipo ajili ya kupongeza pekee
 
Hayati Magufuli alifanya Mambo mengi mazuri, lakini hili la kutuletea wabunge wa chama kimoja bungeni linamtia doa kubwa sana, Leo bungeni kila mmoja ni kupongeza tu! Hakuna hata mmoja atakayepinga maana atapoteza ugali!!

Ni Imani yangu kuwa wapinzani wangekuwa bungeni tungeyajua mambo mengi yaliyojificha nyuma ya jambo hili.
Kosa kubwa kuwa na bunge la chama kimoja.
 
Mwendazake alikuwa tapeli mkubwa wa siasa kuwahi kutokea Tanzania

Mtu anawawekea viongozi kinga ya kutoshtakiwa, anaua vyombo vya habari, anaua vyama vya upinzani halafu kuna watu anawaambia eti ni mzalendo na wanakubali
Lilikuwa jizi lile
 
Back
Top Bottom