Una chapa/Alama/ utambulisho gani katika paji lako la uso?

Una chapa/Alama/ utambulisho gani katika paji lako la uso?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!


ALAMA /MUHURI/NEMBO Ina KAZI maalum ya kutambulisha bidhaa au Mali Ili kuonyesha mmiliki halali wa kitu au Mali hiyo, NEMBO, ALAMA au CHAPA, Kwa mifugo Kwa Mfano, zipo kutofautisha mifugo kati ya mmiliki huyu na yule.

Waliosafiri Kwa treni enzi zile, wezi walikuwa wanawawekea alama Abiria ambao imeshindikana kuwaibia Ili Mwizi Mahali kokote uendako akiiona ALAMA hiyo ahakikishe anafanikisha na kukamilisha mission ya kukuibia.

Wachawi Kwa Mfano, wakikutana ndani ya daladala ,ugenini, nje ya KAZI zao, Huwa wanatambuana. Utambuzi wao hutokana na ALAMA za kichawi au CHAPA za kichawi wanazokuwa wamewekewa Ili kujitambulisha na kujitofautisha na watu au mmiliki ya upande wa nuru.

Upande wa pili, Ule wa Nuru pia Wana ALAMA/ CHAPA / NEMBO yao special ambayo ipo kuwatambulisha na kuwatofautosha na milki Ile ya Giza.

ALAMA/ MUHURI/CHAPA/ NEMBO ya Wana wa Mungu/ WATAKATIFU IPO katika mapaji Yao ya uso (UFUNUO 9:4). (Waefeso 4:30)

Kuna watu wanasali, hata Leo wameenda Kanisani, wengine waliofunga mfungo wa kwaresma, wengine ni watumishi makanisani ila hawana NEMBO/ ALAMA/ MUHURI wa Mungu katika paji za nyuso zao.

Wengine wanaojiita wakristo, wachawi wanaingia Kanisani, wachawi wengine ni Hadi wanachaguliwa kuwa viongozi lakini wameshindwa watambua sababu hawana Roho wa Mungu, hawana macho ya Rohoni, hawana ALAMA/UTAMBULISHO/ MUHURI wa Mungu katika paji za nyuso zao,Hii ni huzuni na hatari kubwa.

Mungu anasikitika juu ya watu wa aina hii, na mara zote Yesu kupitia Roho wake mtakatifu huwaombea Kwa kuugua Ili wapate utambulisho huo.

Imeandikwa, Wala sitalifuta Jina lako katika KITABU Cha Uzima,
( Ufunuo 3:5),hiyo Ina maana kuwa kumbe, Jina la mteule au mtakatifu inawezekana kufutwa, kumbe hata nembo/ CHAPA Yako yaweza kufutwa na usijue.

Kuishi maisha ya kuchanganya Giza na Nuru kunamuweka mtu wa Mungu katika hatari ya kupoteza identity yake. Na kamwe huwezi kumiliki MUHURI wa Giza na WA Nuru Kwa wakati mmoja, sharti upoteze mmoja kati ya hizo.

Ombi: Kuanzia Leo, jikague, Muulize Mungu ikiwa unayo ALAMA/ CHAPA/MUHURI huo katika paji lako la uso, Muulize Mungu ikiwa Jina lako limeandikwa katika KITABU Cha Uzima au la.

Ikiwa unapenda kupata ALAMA/ MUHURI/NEMBO/CHAPA ya Mungu katika paji lako la uso, fuatisha Sala ifuatayo:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. Amen

Nawatakia Pasaka njema,

Karibuni🙏
 
Salaam, Shalom!!


Alama, Muhuri, au nembo Ina KAZI maalum ya kutambulisha bidhaa au Mali Ili kuonyesha mmiliki halali wa kitu au Mali hiyo, Nembo ,alama au chapa, Kwa mifugo Kwa Mfano, zipo kutofautisha mifugo kati ya mmiliki huyu na yule.

Waliosafiri Kwa treni enzi zile, wezi walikuwa wanawawekea alama Abiria ambao imeshindikana kuwaibia Ili Mwizi Mahali kokote uendako akiiona alama hiyo ahakikishe anafanikisha na kukamilisha mission ya kukuibia.

Wachawi Kwa Mfano, wakikutana ndani ya daladala Huwa wanatambuana. Utambuzi wao hutojana na alama za kichawi au chapa za kichawi wanazokuwa wanewemewa Ili kujitambulisha na kujitofautisha na watu au mmiliki ya upande wa nuru.

Upande wa pili, Ule wa Nuru pia Wana Alama/ chapa / nembo zao special ambazo zipo kuwatambulisha na kuwatofautosha na milki Ile ya Giza.

Alama/ chapa/ nembo ya Wana wa Mungu/ WATAKATIFU IPO katika mapaji Yao ya uso (UFUNUO 19).

Kuna watu wanasali, hata Leo wameenda Kanisani, wengine waliofunga mfungo wa kwaresma, wengine ni watumishi makanisani ila hawana Nembo/ Alama/ muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao. Hii ni huzuni na hatari kubwa.

Mungu anasikitika juu ya watu wa aina hii, na mara zote Yesu kupitia Roho wake mtakatifu huwaombea Kwa kuugua Ili wapate utambulisho huo.

Imeandikwa, Wala sitalifuta Jina lako katika KITABU Cha Uzima, hiyo Ina maana kuwa kumbe, Jina la mteule au mtakatifu inawezekana kufutwa, kumbe hata nembo/ chapa Yako yaweza kufutwa na usijue.

Kuishi maisha ya kuchanganya Giza na Nuru kunamuweka mtu wa Mungu katika hatari ya kupoteza identity yake.

Ombi: Kuanzia Leo, jikague, Muulize Mungu ikiwa unayo alama hiyo katika paji lako la uso, Muulize Mungu ikiwa Jina lako limeandikwa katika KITABU Cha Uzima au la.

Ikiwa unapenda kupata alama ya Mungu katika paji lako la uso, fuatisha Sala ifuatayo:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. Amen

Nawatakia Pasaka njema,

Karibuni🙏
Amen Amen
 
Giza na Nuru vyote vimeumbwa na Mungu .....
Ni Kweli, MAUTI na Uzima, vimo ndani ya uamuzi wako,

Mungu ni Nuru, na kawaida ya Nuru haijawahi kushindwa na Giza au kujua ya Gizani, ila Giza Yako mengi ya Nuru haijui.

Mchawi mwenye alama ya 666 kamwe hawezi ingia Mbinguni Hadi alama hiyo ifutwe na apewe chapa ya Mungu juu ya paji lake usoni.

Kukosa alama ya Mungu katika paji la uso, automatically uko gizani hata kama hujasajili Rasmi na kupigwa chapa zao.

Karibu katika wokovu, uwe mwana wa Mungu aliye hai.

Amen
 
Ni Kweli, MAUTI na Uzima, vimo ndani ya uamuzi wako,

Mungu ni Nuru, na kawaida ya Nuru haijawahi kushindwa na Giza au kujua ya Gizani, ila Giza Yako mengi ya Nuru haijui.

Mchawi mwenye alama ya 666 kamwe hawezi ingia Mbinguni Hadi alama hiyo ifutwe na apewe chapa ya Mungu juu ya paji lake usoni.

Kukosa alama ya Mungu katika paji la uso, automatically uko gizani hata kama hujasajili Rasmi na kupigwa chapa zao.

Karibu katika wokovu, uwe mwana wa Mungu aliye hai.

Amen
Nani alisema 666 ndo alama ya shetani
 
Nina Ndui! Ila haipo usoni😀
Alama hiyo haionekani Kwa macho ya Damu na nyama.

Alama hiyo ni katika Roho. Inaonekana Kwa macho ya Rohoni.

Ndio maana unatakiwa kujikagua Kwa maombi, isijekuwa unaopoteza muda, umo Kanisani miaka na miaka, kumbe hutambuliki Mbinguni na Wala Jina lako halijaandikwa kitabu Cha Uzima, au liliandukwa Kisha likafutwa na hujui.

Hii ni hatari kubwa.
 
(Ufunuo 13:18)

Hapa ndipo penye HEKIMA. Yeye aliye na akili na aihesabu hesabu ya mnyama huyo, maana ni hesabu ya kibinadamu, na hesabu yake ni mia SITA sitini na SITA.666
Kwahio wa giza wanatembea na hio namba usoni
 
Mungu ni mmoja na Yesu ndio jina lake
Amina.
Mwili na Damu havikukufunulia hili, Bali ni Mungu.

Maana Majina ya office za Mungu kuelezea KAZI na uweza wake ni Mengi, ila Jina tulilopewa WANADAMU ni Jina la YESU.

Ubarikiwe.
 
Salaam, Shalom!!


Alama, Muhuri, au nembo Ina KAZI maalum ya kutambulisha bidhaa au Mali Ili kuonyesha mmiliki halali wa kitu au Mali hiyo, Nembo ,alama au chapa, Kwa mifugo Kwa Mfano, zipo kutofautisha mifugo kati ya mmiliki huyu na yule.

Waliosafiri Kwa treni enzi zile, wezi walikuwa wanawawekea alama Abiria ambao imeshindikana kuwaibia Ili Mwizi Mahali kokote uendako akiiona alama hiyo ahakikishe anafanikisha na kukamilisha mission ya kukuibia.

Wachawi Kwa Mfano, wakikutana ndani ya daladala ,ugenini, nje ya KAZI zao, Huwa wanatambuana. Utambuzi wao hutokana na alama za kichawi au chapa za kichawi wanazokuwa wamewekewa Ili kujitambulisha na kujitofautisha na watu au mmiliki ya upande wa nuru.

Upande wa pili, Ule wa Nuru pia Wana Alama/ chapa / nembo yao special ambayo ipo kuwatambulisha na kuwatofautosha na milki Ile ya Giza.

Alama/ chapa/ nembo ya Wana wa Mungu/ WATAKATIFU IPO katika mapaji Yao ya uso (UFUNUO 9:4).

Kuna watu wanasali, hata Leo wameenda Kanisani, wengine waliofunga mfungo wa kwaresma, wengine ni watumishi makanisani ila hawana Nembo/ Alama/ muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao. Hii ni huzuni na hatari kubwa.

Mungu anasikitika juu ya watu wa aina hii, na mara zote Yesu kupitia Roho wake mtakatifu huwaombea Kwa kuugua Ili wapate utambulisho huo.

Imeandikwa, Wala sitalifuta Jina lako katika KITABU Cha Uzima,
( Ufunuo 3:5),hiyo Ina maana kuwa kumbe, Jina la mteule au mtakatifu inawezekana kufutwa, kumbe hata nembo/ chapa Yako yaweza kufutwa na usijue.

Kuishi maisha ya kuchanganya Giza na Nuru kunamuweka mtu wa Mungu katika hatari ya kupoteza identity yake.

Ombi: Kuanzia Leo, jikague, Muulize Mungu ikiwa unayo alama hiyo katika paji lako la uso, Muulize Mungu ikiwa Jina lako limeandikwa katika KITABU Cha Uzima au la.

Ikiwa unapenda kupata alama ya Mungu katika paji lako la uso, fuatisha Sala ifuatayo:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. Amen

Nawatakia Pasaka njema,

Karibuni[emoji120]
Uko sahihi, muhuri huo unawekwa na Roho mtakatifu waefesso 4:30.
 
Back
Top Bottom