- Thread starter
- #21
Hakika wanayo. Kama Si usoni, mikononi au mguuni.Kwahio wa giza wanatembea na hio namba usoni
Njoo upate alama ya Mungu. Amen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika wanayo. Kama Si usoni, mikononi au mguuni.Kwahio wa giza wanatembea na hio namba usoni
(Waefeso 4:30)Uko sahihi, muhuri huo unawekwa na Roho mtakatifu waefesso 4:30.
(Waefeso 4:30)UNASOMA BIBLIA KM RIWAYA.POLE SANA
Nisipokua nayo hio 666 anaiweka naniHakika wanayo. Kama Si usoni, mikononi au mguuni.
Njoo upate alama ya Mungu. Amen
Kuna mamlaka kuu mbili,Nisipokua nayo hio 666 anaiweka nani
Una uhakika gani na wewe haupo gerezani unateswa na mapepoKuna mamlaka kuu mbili,
1. Nuru 2 .Giza.
Ikiwa huna muhuri/ chapa/ nembo ya Mungu, automatically ni WA Giza Kwa dhambi Ile ya asili hata kama hujajisajili Rasmi kupata hiyo 666.
Watu wa aina Yako shetani huwatia gerezani, yaani unakuwa hai, ila NAFSI Yako inachukuliwa inafungwa, wewe huku unaongozwa na Pepo, NAFSI Yako inatumiwa na wenye mikataba na Giza kupata utajiri na mafanikio, wewe unaachiwa magonjwa, Umaskini nknk,
Unawekwa gerezani Ili ukose muda wa kutubu Ili ukifa, direct unapokelewa kuzimu sababu utakuwa huna alama/ muhuri/ nembo ya Mungu katika paji la uso wako.
Ninaye Roho mtakatifu ndani yangu anipaye HAKIKA.Una uhakika gani na wewe haupo gerezani unateswa na mapepo
Share nasi experience Naby Keita aelewe.Mi nilishaoneshwa nawekwa alama ya msalaba...
Hivyo ninaamani...
Bwana Yesu atukuzwe
Una uhakika gani huyo ni Mungu au ni mtazamo wako tu,,,Kama na mie Mungu ninaemuamini keshanipa uhakikaNinaye Roho mtakatifu ndani yangu anipaye HAKIKA.
Na muda wote najitajasa Kwa kufuata mavazi yangu Kwa Damu ya Yesu Kristo, ndio Hasa msingi wa neno kujikagua.
Mwombe Mungu akuthibitishie ikiwa u wake au wa Ibilisi.
Amen.
Mtumishi, mi niliona tu katika ule ulimwengu wa Roho nikaona nipo nawekwa alama ya msalaba.Share nasi experience Naby Keita aelewe.
Tumwaminio Mungu tunao uhakika sababu tunaye Roho mtakatifu ndani yetu.Una uhakika gani huyo ni Mungu au ni mtazamo wako tu,,,Kama na mie Mungu ninaemuamini keshanipa uhakika
Hukumwona aliyekuweka alama ya msalaba?Mtumishi, mi niliona tu katika ule ulimwengu wa Roho nikaona nipo nawekwa alama ya msalaba.
Haya yalianza baada ya kuwa naomba sana na kujitakasa yaani Toba.
Nikaanza kuona vitu mbalimbali, vinavyokuja na huwa vinatokea.
Mambo ya Rohoni huwezi elezea mtu akaelewa...
Kwahio hata kwa muislam, budha hata mhindu tayari ana alama ya nuruTumwaminio Mungu tunao uhakika sababu tunaye Roho mtakatifu ndani yetu.
Anaongea nasi na sauti yake twaisikia na kuitii, anatufundisha, anatuombea, nknk.
Nawe ikiwa unaye utajua, ikiwa huna pia utajua, maana muda wote utahangaika na Giza na Dunia Badala ya kuitumikia Mungu.
Karibu.
Nilimuona Mtumishi wa Mungu, na ilivyo ajabu ikaja Tena kutokea kweli katika ulimwengu wa mwili.Hukumwona aliyekuweka alama ya msalaba?
Sorry, Nia ni kuwasaidia wasiojua haya wajue kuwa Mungu ni HALISI Si hadithi.
Nimekwambia Kuna kingdom kuu mbili pekee.Kwahio hata kwa muislam, budha hata mhindu tayari ana alama ya nuru
Hio sasa ni programming yako binafsi.....Mungu ni wa wote na njia za kumfikia zipo nyingi sio moja tu ....shida mnalazimisha njia zenu huo tayari ni ubinafsi kama kutumia tu nguvu za gizaNimekwambia Kuna kingdom kuu mbili pekee.
Nuru& Giza.
Budha na Hindu wote ni WA Giza.
Wa Mungu ni wale waaminio juu ya Yesu kuja katika mwili wa mwanadamu na Kuzaliwa, kufa na kufufuka.
Ni waaminio juu ya Mungu MMOJA na JINA lake ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Ubarikiwe.
Unaweza sema njia moja wapo mkuu...Hio sasa ni programming yako binafsi.....Mungu ni wa wote na njia za kumfikia zipo nyingi sio moja tu ....shida mnalazimisha njia zenu huo tayari ni ubinafsi kama kutumia tu nguvu za giza
Hizo nimeshazitajaUnaweza sema njia moja wapo mkuu...