Wanamwona aliye ndani, aliye mkuu sana kuliko mfalme wao.wengi hutizama chini na wanakua kama wanaona aibu as if nimeona siri zilizomo ndani yao, lakini pia hubadili uelekeo kwa haraka au kutokaa kabisa karibu nami au kurejea kunitazama kiwizi wizi 🐒
Wabudha na wahindu wanaabudu miungu Si Mungu.Unathibitishaje kwamba wa wabudha na wahindu si watu wa Mungu?
Au unafosi mafikirio yako na mafundisho yako uchwara ya dini yakubalike na kila mtu?
Mbudha na Mhindu wakikwambia wakristo ni watu wa giza utazingatia hilo?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ni ajabu yaani unapata ukuu mbele ya watu Tena kwa wepesi.Wanamwona aliye ndani, aliye mkuu sana kuliko mfalme wao.
Wengine Huwa wanajikuta wanaamkia vijana WADOGO bila kupenda, kumbe ni HOFU ya kilicho ndani ya WATAKATIFU.
Ubarikiwe, Amen
Hili neno linapatikana kitabu Gani kwenye biblia?kwamba nikimuota mtumishi ni wa ukweliUbarikiwe,
Mungu anapotaka kukuthibitishia ikiwa Mchungaji wako au kiongozi wako ni WA Kweli, huja Kwa sura ya mtumishi huyo Ili kukuthibitishia.
Mimi pia niliona Mchungaji wangu akija kazini na kunipa maelekezo, nikajua kuwa Mungu ananithibitishia kuwa mtumishi huyo ni wake, na alitaka pia ajitambulishe katika KAZI na ofisi yangu kuwa ndiye Mungu anayemiliki KAZI hiyo.
Ikiwa hutojali, mtaje mtumishi huyo.
Ndio maana nimemuuliza mleta mada,na dada mtumishi Donatila Wana uhakika mtumishi ukimuota Kwa njia ya ndoto ndio Mungu kamthibitisha ni Mtumishi wa ukweli?hili jambo wamelitoa wapi katika maandiko?Ndugu zangu katika Kristo,Kwa yanayoendelea Sasa tunahitaji macho ya rohoni,na msaada wa Roho mtakatifu kutuongoza vyema.Hata huko pia inaweza kua ni njia ndefu kwa wengine maana huko pia sio wote wasafi,,,,wengi huko wanazuga watu wa Mungu ila hata hizo nguvu za miujiza wanaboost kwa sangoma,,,na haya makanisa ya sasa mengi yana mambo kibao yakishetani hasa ibada za kubeba nguvu za waumini (energy harvesting )na wanafanya sana hizi sexual rituals
Umejibu vyema,Ndio maana nimemuuliza mleta mada,na dada mtumishi Donatila Wana uhakika mtumishi ukimuota Kwa njia ya ndoto ndio Mungu kamthibitisha ni Mtumishi wa ukweli?hili jambo wamelitoa wapi katika maandiko?Ndugu zangu katika Kristo,Kwa yanayoendelea Sasa tunahitaji macho ya rohoni,na msaada wa Roho mtakatifu kutuongoza vyema.
Ok, barikiwa.Umejibu vyema,
Msaada wa Roho mtakatifu.☑️
Kumuota mtumishi pekee haitoshi, inategemea viashiria na matendo atendayo, mavazi nk nk.
1. Ukimwona mtumishi anakujia katika vazi jeusi, amekukasirikia, pigia mstari ni WA UONGO huyo. Hasira,Vazi jeusi haliashirii Nuru kimaandiko.
2.Ukimwona mtumishi amekujia na anazini na wewe, au Yuko uchi- pigia mstari ni WA UONGO, au ana Roho ya UZINZI.
3. Ukiwa katika maombi au ndotoni, Kisha ukanwona kiongozi wako wa Imani anatokea na kukusaidia kuomba, au anakusaidia katika vita, jua ni mtumishi wa Mungu huyo, Mungu anakudhihirishia. Amekuja Kwa sura ya mtumishi huyo kukusaidia.nk nk
Karibu.
Wabudha na wahindu wana abudu miungu kwa uthibitisho upi na ushahidi upi ulionao?Wabudha na wahindu wanaabudu miungu Si Mungu.
Mungu ni MMOJA na JINA lake ni Yesu Kristo/ YESHUA HAMASHIACH. Amen
Hao wanaofanya hivyo ni waabudu sanamu, hawana ALAMA/MUHURI/NEMBO/ CHAPA ya Mungu katika paji za nyuso zao!!Wabudha na wahindu wana abudu miungu kwa uthibitisho upi na ushahidi upi ulionao?
Unaweza kuthibitisha kwamba miungu ya wabudha na wahindu si Mungu?
Mna abudu sanamu la kuchongwa la mbao halafu mnaliita Yesu! Kwamba ndio Mungu?
Ahsante Kwa kuongeza madini,Ufunuo wa Yohana 14:9
Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,
10 yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.
Mungu huyo wakati anaumba hao watu alishindwaje kuwawekea wabudha na wahindu hizo alama zake kwenye paji za nyuso zao?Hao wanaofanya hivyo ni waabudu sanamu, hawana ALAMA/MUHURI/NEMBO/ CHAPA ya Mungu katika paji za nyuso zao!!
Narudia, wabudha, Hindu ni waabudu sanamu, miungu!!
Swali duni, liboreshe.Mungu huyo wakati anaumba hao watu alishindwaje kuwawekea wabudha na wahindu hizo alama zake kwenye paji za nyuso zao?
Unaleta ufafanuzi uchwara hapa.
Kwahiyo wa lslam wote wapo #Gizani ila wewe ndio upo kwenye Nuru??Nimekwambia Kuna kingdom kuu mbili pekee.
Nuru& Giza.
Budha na Hindu wote ni WA Giza.
Wa Mungu ni wale waaminio juu ya Yesu kuja katika mwili wa mwanadamu na Kuzaliwa, kufa na kufufuka.
Ni waaminio juu ya Mungu MMOJA na JINA lake ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Ubarikiwe.
Mungu ni mmoja na Yesu ndio jina lake.Kwahiyo wa lslam wote wapo #Gizani ila wewe ndio upo kwenye Nuru??
Mbinguni wanashangilia Kwa ajili Yako. (Luka 15:7-10)EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. Amen
AmenMbinguni wanashangilia Kwa ajili Yako.
Karibu katika ufalme wa Mungu, Amini Roho mtakatifu ameingia ndani ya maisha Yako.
Get your Bible, read it every day.
Jitenge na marafiki wabaya,walevi, wazinzi nk nk.
Uwe na HAKIKA Jina lako limeandikwa Katika kitabu Cha Uzima, tunza wokovu wako wa thamani.
Ubarikiwe. Amen