Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,097
Kijana analugha tam yule.....[emoji2] [emoji2] Wajinga ndio waliwaoDar: 300×65000 = 19,500,000
Mwanza: 100×135,000 = 13,500,000
JUMLA KUU = 33,000,000/-
Ndani ya mwezi, alishatoka huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana analugha tam yule.....[emoji2] [emoji2] Wajinga ndio waliwaoDar: 300×65000 = 19,500,000
Mwanza: 100×135,000 = 13,500,000
JUMLA KUU = 33,000,000/-
Ndani ya mwezi, alishatoka huyu
Mkuu yaani vyovyote wewe tengeneza Wajinga akilini mwako, Hii iko World widemimi nimependa akili ya dogo wa forex yule....
Vyote hivyo ni watu walikaa wakachora picha akilini mwaoHata michezo ya biko na tatu mzuka, ni mule mule.
Swala la kutengeneza Wajinga wengi akilini sio Utaperi ni njia ya kucheza na akili za watu na hio inatuma Dunia nzimaMkuu Forex mbona inalipa if you take it seriously sema kama mgeni na hayo mambo na unataka faida tuu shida inaanzia hapo na wabongo wengi nimeona wao wanaangalia upande wa faida tu hawajui sometimes kuna kukosa pia Mfano mzuri tu ni mimi mwenyewe kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya Binary Option hii haijatofautiana sana na Forex kilichonitokea mimi ni kwamba nilivoanza nilipoteza hela kidogo nikaangalia nimekosea wapi nikaweka hela tena kiukweli mambo yalikuwa mazuri tu mpaka kufikia mwaka jana mwezi wa sita kama sikosei kuna ka hela nikakapoteza kidogo lakini hapo nilikuwa nisharudisha hela yangu na faida juu na kitu nimegundua ni kwamba ningechukulia serious hadi leo basi ningekuwa mbali mimi nikistop kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu.
Kwa hawa wa Forex wapo watakao fika mbali na pia wapo ambao watakuwa wasindikizaji wataamua kuishia njiani.
Watu wana jaribu kufananisha Forex na Sports Betting wakati they are very different. Kwahyo time will tell.
Mkuu kutengeneza Wajinga wengi akilini mwako sio Utaperi yaani ni njia ya wewe ku implement Idea yako.Dar: 300×65000 = 19,500,000
Mwanza: 100×135,000 = 13,500,000
JUMLA KUU = 33,000,000/-
Ndani ya mwezi, alishatoka huyu
Hakika mkuu.Mkuu kutengeneza Wajinga wengi akilini mwako sio Utaperi yaani ni njia ya wewe ku implement Idea yako.
Na tunavyopenda pesa isiyo na jasho basi hatari tupu mkuuKijana analugha tam yule.....[emoji2] [emoji2] Wajinga ndio waliwao
Uoga wako ndiyo umaskini wako....Na tanzu wake BitCoin
Hapa tusubiri vilio tu, wakati huo yeye atakua amesha changa chake saaaafi kabisaNa tunavyopenda pesa isiyo na jasho basi hatari tupu mkuu
Nifundishe nami niwe nacheza hii kituMkuu Forex mbona inalipa if you take it seriously sema kama mgeni na hayo mambo na unataka faida tuu shida inaanzia hapo na wabongo wengi nimeona wao wanaangalia upande wa faida tu hawajui sometimes kuna kukosa pia Mfano mzuri tu ni mimi mwenyewe kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya Binary Option hii haijatofautiana sana na Forex kilichonitokea mimi ni kwamba nilivoanza nilipoteza hela kidogo nikaangalia nimekosea wapi nikaweka hela tena kiukweli mambo yalikuwa mazuri tu mpaka kufikia mwaka jana mwezi wa sita kama sikosei kuna ka hela nikakapoteza kidogo lakini hapo nilikuwa nisharudisha hela yangu na faida juu na kitu nimegundua ni kwamba ningechukulia serious hadi leo basi ningekuwa mbali mimi nikistop kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu.
Kwa hawa wa Forex wapo watakao fika mbali na pia wapo ambao watakuwa wasindikizaji wataamua kuishia njiani.
Watu wana jaribu kufananisha Forex na Sports Betting wakati they are very different. Kwahyo time will tell.
Inaonekana wewe ni maskini sana tena wa kutupwa.Dar: 300×65000 = 19,500,000
Mwanza: 100×135,000 = 13,500,000
JUMLA KUU = 33,000,000/-
Ndani ya mwezi, alishatoka huyu
Yaan mzee biko na tatu mzuka ndo zinanipa hasira kabisa Coz wajanja waliobuni wanatengeneza hela kama utani vileHata michezo ya biko na tatu mzuka, ni mule mule.
Forex is a real business, nilioisoma kwenye international finance 3rd year Mzumbe. Tatizo letu wa bongo ni kuwa tuko miaka 50 behind technology. Kutokua na ujuzi na maarifa sahahihi kunatuponza sana. Anyway, nakubaliana na Mr Chasha tatizo letu wabongo ni kukosa consistency. Do what you love and let the money follow you, usiifuate pesa.mimi nimependa akili ya dogo wa forex yule....
Naye katengeneza wajinga wengi kwa kuwaita kwenye training kwa AdaMbona hujafafanua kafanya nn?
Uchiulikuwa unatumia nini kabla?