my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Leo nimeangalia simu ya rafiki yngu nimeshangaa ana groups 8 za whatsapp na zte yko active. Ndio maana muda wte yupo na simu tu hta ukiongea nae yeye ana chat tu mpk saa nyingine anakera ukikaa nae.
Mimi Binafsi nina group 2 tu. Group Ya kwanza ya class hii huwa wana share notes zinazotolewa na walimu, past papers na kudiscuss kuhusu masomo. Huwa hawapost mambo mengine nje ya masomo. Ya 2 ni ya hostel ambayo naishi. Hili nimeli mute maana wanapost sana mengine hayana hta umuhimu. Kwa wiki hakukosekani ugomvi ktk hili group 😀 watu wanagombana hta vitu havina umuhimu 😂 Huwa naingia kwa hili group kuangalia menu ya siku tu.
Katika hizo groups zote sichangii mimi huwa ndugu msomaji tu. Je wewe una group ngapi? Zinakusaidia kwa namna yoyote?
Mimi Binafsi nina group 2 tu. Group Ya kwanza ya class hii huwa wana share notes zinazotolewa na walimu, past papers na kudiscuss kuhusu masomo. Huwa hawapost mambo mengine nje ya masomo. Ya 2 ni ya hostel ambayo naishi. Hili nimeli mute maana wanapost sana mengine hayana hta umuhimu. Kwa wiki hakukosekani ugomvi ktk hili group 😀 watu wanagombana hta vitu havina umuhimu 😂 Huwa naingia kwa hili group kuangalia menu ya siku tu.
Katika hizo groups zote sichangii mimi huwa ndugu msomaji tu. Je wewe una group ngapi? Zinakusaidia kwa namna yoyote?