Una makundi mangapi ya WhatsApp?

Una makundi mangapi ya WhatsApp?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Leo nimeangalia simu ya rafiki yngu nimeshangaa ana groups 8 za whatsapp na zte yko active. Ndio maana muda wte yupo na simu tu hta ukiongea nae yeye ana chat tu mpk saa nyingine anakera ukikaa nae.

Mimi Binafsi nina group 2 tu. Group Ya kwanza ya class hii huwa wana share notes zinazotolewa na walimu, past papers na kudiscuss kuhusu masomo. Huwa hawapost mambo mengine nje ya masomo. Ya 2 ni ya hostel ambayo naishi. Hili nimeli mute maana wanapost sana mengine hayana hta umuhimu. Kwa wiki hakukosekani ugomvi ktk hili group 😀 watu wanagombana hta vitu havina umuhimu 😂 Huwa naingia kwa hili group kuangalia menu ya siku tu.

Katika hizo groups zote sichangii mimi huwa ndugu msomaji tu. Je wewe una group ngapi? Zinakusaidia kwa namna yoyote?
 
Leo nimeangalia simu ya rafiki yngu nimeshangaa ana groups 8 za whatsapp na zte yko active. Ndio maana muda wte yupo na simu tu hta ukiongea nae yeye ana chat tu mpk saa nyingine anakera ukikaa nae.

Mimi Binafsi nina group 2 tu. Group Ya kwanza ya class hii huwa wana share notes zinazotolewa na walimu, past papers na kudiscuss kuhusu masomo. Huwa hawapost mambo mengine nje ya masomo. Ya 2 ni ya hostel ambayo naishi. Hili nimeli mute maana wanapost sana mengine hayana hta umuhimu. Kwa wiki hakukosekani ugomvi ktk hili group 😀 watu wanagombana hta vitu havina umuhimu 😂 Huwa naingia kwa hili group kuangalia menu ya siku tu.

Katika hizo groups zote sichangii mimi huwa ndugu msomaji tu. Je wewe una group ngapi? Zinakusaidia kwa namna yoyote?
. Inatgemea na interest ya mtu

Siwezi kosa group la mpira
 
Group mbili. Zote za Liverpool FC moja la bongo moja International. Huwa sichangii sana naweza kutuma ujumbe mmoja au mbili kwa mwezi.

Zote ziko muted 🔇 so kujua kinachoendelea mpaka niingie mwenyewe.
 
Inategemea na level zako pamoja na umri..

Ukiwa ni muajiriwa utakua kwenye group la kazini.


Group la kanisani.

Group la form 4

Group la form 6

Group la chuo.

Group la michongo ya kazi.

Group la kabila lako.

Group la chama cha mapinduzi.

Group la ujasiriamali.

Group la wana (weekend outings)


Hesabu mangapi hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom