Una makundi mangapi ya WhatsApp?

Una makundi mangapi ya WhatsApp?

Inategemea unafabya mishe gani mfano mimi ni youtubers lazima niwe nayo wengi maana ndiko nakoshare kazi zangu ili jutafuta subscribers na views wengi kwaiyo mkiona link za youtube msiwe mnazipita kama hamzioni fungueni mka subscribe na kuview mi ctaongea nina magroup mangap ila ona mwenyewe hapa chini nina chat ngap harafu maadimn wa magroup wengi hawatupendi sisi watu wa youtuber kisa tunashare link kweny magroup mara kwa mara sasa mi niko kazini unataka niwe kama nyie mnaochart kutwa nzima na vidada mkivitongoza, acheni kututoa /kuturemove kweny magroup yenu tunashare link za chanel zetu za youtube View attachment 1379774
umetisha...
 
Hamna link mkuu maana ni marufuku ku share link ili kuepuka mamluki. Pia ukitaka kuingia lazima upigwe interview ili kubaini kama kweli ni mwana Liverpool.

Nipo tayari kwa interview


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Inategemea na level zako pamoja na umri..

Ukiwa ni muajiriwa utakua kwenye group la kazini.


Group la kanisani.

Group la form 4

Group la form 6

Group la chuo.

Group la michongo ya kazi.

Group la kabila lako.

Group la chama cha mapinduzi.

Group la ujasiriamali.

Group la wana (weekend outings)


Hesabu mangapi hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hilo la kabila mnaongelea nini?
 
Mengi sana;
Group la familia, Wajukuu wa babu[emoji39], ukoo, lugha ya asili, kijiji, maendeleo ya kijiji, o level, a level, chuo, ukweni, magari, kubeti, majirani wa mtaa, maendeleo ya mtaa, kazini...duh!
 
La chuo

Advance

O level

Job/mishe


Yakina minah na wyvera kama manne hivi nadhani ma legendary wanaelewa


Dini


Sports

Pamoja na ya series na muvi kila siku zinatupwa huko ni mb zako tu

Kamati ya ndoa hili nimeleft ila wameni add tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda nipate group la wajasiliamali maana nina group 2 naona hazina faida


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom